Thursday, March 14, 2013

P-SQUARE KUWEKEZA KWENYE MAFUTA






Peter Okoye (of P-Square) ameweka picha kwenye mtandao wa instagram
with some caption zinazosema “Hustle must continue…. Oil business tinz…..
 No time.”

Pia aliweka picha nyingine ikiwa na hizi quotes “When u start from the bottom..
Who knows? God bless ma hustle.”

Watu wengi wameshindwa kuelewa walichukulie vip hili jambo..? Majamaa hawa
 wawili ni kwamba wanataka kuingia kwenye industry ya oil au ni vip?

Pitia mtandao wako wa this is diamond tutakujuza zaidi
VIA: http://www.thisisdiamond.com/



MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment