Tuesday, August 16, 2016

Jibu la Mwimbaji Emmanuel Mbasha kuhusu kurudiana na Flora Mbasha



Kama utakuwa unakumbuka mnamo September 21,2015 moja ya stori kubwa iliyogusa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania ni ishu ya Hukumu ya Kesi ya Mwimbaji wa Gospel Tanzania, Emmanuel Mbasha ambapo alikuwa anakabiliwa na Keshi ya kumbaka shemeji yake na kesi imekuwa Mahakamani tangu 2014.

Wengi tunafahamu kwamba mwimbaji huyo aliachiwa huru baada ya Mahakama kumkuta hana hatia kwenye Kesi hiyo, sasa leo kajibu swali kuhusu kurudiana na mkewe Flora Mbasha na kuyaongea haya>>

‘Mimi kurudiana na Flora Mbasha ni ngumu kwasababu yeye ndio aliniacha mimi na yeye ndio aliandaa mazingira yake ya kuniacha mimi mpaka ikafika wakati Familia yangu, viongozi mbalimbali wa Dini wakawa wanamshauri lakini akutaka kurudiana na mimi kwahiyo naweza sema ni ngumu kurudiana na Flora’




MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MASANZA 1192 WASOMEA JUANI


Na, Shushu Joel,BUSEGA


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Masanza katika Kijiji cha Mitindu Kata ya Kiloleli, Wilaya ya Busega, Mkoani Simiyu, wanalazimika kusomea kwenye mti kutokana na upungufu wa madarasa.

Aidha upungufu huo wa madarasa unawalazimu wanafunzi wengine kusomea juani katika madarasa mawili ambayo hayajapauliwa licha kufikia hatua hiyo miaka miwili iliyopita.

Shule hiyo ilianzishwa tangu mwaka 2006 lakini mpaka sasa haina hata nyumba moja ya walimu.

Wanafunzi wa shule ya msingi masanza wakiwa darasani

Akizungumza na NIPASHE mwalimu mkuu wa shule hiyo Vedasto Chibuga  amesema kutokana na uwepo wa changamoto hizo kunapelekea idadi kubwa ya wanafunzi kusomea kwenye darasa la vyumba viwili ambalo halijaezekwa, huku wengine wakisomea chini miti.
 
Chibuga aliongeza kuwa wanaosomea kwenye darasa hilo ni wanafunzi wa awali,darasa la sita na darasa la tatu, lakini ikifika majira ya saa tano asubuhi hulazimika kuthitisha vipindi kutokana na jua kali na kwenda kuwachanganya na wananfunzi madarasa mengine.

“Sera ya elimu inasema kuwa kila chumba wasome wanafunzi 45 lakini hapa kwangu mkondo mmoja wanasoma wanafunzi wasiopungua 100  kutokana na changamoto hizo za uhaba wa vyumba vya madara”.

Aidha Chibuka alisema kuwa serikali ndio ya kulaumiwa kwani wananchi wao walitimiza wajibu wao wa kuchangishana kwa ajili ya ujenzi wa boma hilo tangu mwaka 2013.

Kwa muji mwalimu mkuu huyo, hali inawafanya walimu kukata tamaa hali inayopelekea wanafunzi kutofanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani ya kitaifa kutokana na mazingira magumu ya kufundishia.

Mmoja wa wazazi wa wanafunzi katika shule hiyo, Mikwanga Yona, alisema kuwa ni aibu kwa serikali kushindwa kupaua jengo hilo lililojengwa kwa nguvu za wananchi, na kwamba hali hiyo inaweza kufanya wananchi kukata tamaa kuchangia maendeleo katika maeneo yao kwa kukatishwa tamaa na serikali kwa kushindwa kuunga mkono jitihada zao.
Wanafunzi wakiwa darasani na mwalimu wao akiwafundisha

Ofisa Elimu Kata ya Kiloleli John Mayunga amethibitisha kuwepo kwa hali hiyo, na kwamba jambo hilo wamelifikisha katika kikao cha maendeleo ya kata ambacho mwenyekiti wake huwa diwani wa kata husika, na kuongeza kuwa pengine serikali inalifanyia hivyo kwa kuwa walishaliwasilisha katika ngazi ya halmashauri.


>>>>>>>>>>MWISHO>>>>>>
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Monday, August 15, 2016

Video ya Original Komedi alivyoingia ukumbini kwenye Harusi ya Masanja


Ni August 14, 2016 ambapo mchekeshaji kutoka kwenye kundi la Original Komedi, Emmanuel Mgaya aka Msanja Mkandamizaji aliziandika headlines baada ya kufunga ndoa na mchumba wake Monica katika kanisa la Mito ya Baraka Dar es Salaam.

Miongoni mwa walitoa burudani kwenye sherehe hiyo wakiwemo wachekeshaji wenzake kutoka kundi la Original Komedi, tazama video uone jinsi walivyoingia ukumbini.



Download


Download
Download
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

DOWNLOAD AUDIO JEFF UNTOUCHABLE FT. COYO_MC_S MAIH SACHO_BEKA TITTLE_C SIR MADINI -- EVERY DAY



Jeff-untouchable-ft-coyo-mc-s-maih-sacho-beka-tittle-c-sir-madini-every-day

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Friday, August 12, 2016

DULLY SYKES FT HARMONIZE - INDE (OFFICIAL VIDEO )




MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Thursday, August 11, 2016

Download Audio:II Barnaba-Lover-Boy MP3



Barnaba-Lover-Boy-King-Sele-Blog

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Tuesday, August 9, 2016

Chege Ft. Diamond - Waache Waoane (BEAT) Instrumental



chege-ft-diamond-waache-waoane-beat-instrumental

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

DOWNLOAD AUDIO: G.FREE ----- MAPENZI MATAM TAM mp3



G.free-mapenzi-matam-tam

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Download Audio: Ruby- Je utanipenda? (Cover)


Download-audio-ruby-je-utanipenda-cover
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Thursday, August 4, 2016

Chege Feat. Diamond Platnumz | Waache Waoane | Official Video


MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Download Chege Ft. Diamond Platnumz - Waache Waoane ( Official Audio)



https://my.notjustok.com/track/117005/chege-ft-diamond-platnumz-waache-waoane

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Monday, August 1, 2016

Diamond Platnumz ft P'square KIDOGO (Official Video)




MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.