Thursday, March 28, 2013

FILAMU YA SISTER MARRY KUINGIA SOKONI MUDA WOWOTE.


Ray amesema kuwa filamu yake ya SISTER MARRY iliyozua kasheshe na viongozi wa kidini kutoka kanisa katoliki hivi karibuni haijazuiliwa kabisa bali ameambiwa arekebishe baadhi ya vipande katika filamu hiyo hivyo mashabiki wake wakae mkao wa kula filamu hiyo itaingia sokoni kila kitu kikikamilika. The film stars Vicent Kigosi(Ray), Irene Uwoya, Blandina Chagula(Johari) and Grace Mapunda.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment