Tuesday, February 12, 2013

RADI KUBWA YAPIGA ST PETER'S BASILIC BAADA YA PAPA BENEDICT KUTANGAZA ATAJIUZULU.



Papa Benedit
 
 
Radi kubwa ya piga kanisa la St Peter's Basilica baada ya Papa Benedict XXVI kutangaza atajiuzulu Tarehe 28 Feb.Hilo litakua tukio la Kihistoria tangu 1415,kwa sasa Papa ana umbri wa miaka 85 amekua kiongozi wa kanisa hilo tangu mwaka 2005.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment