Thursday, February 21, 2013

Kampuni ya Deloitte yafanya Utafiti wa Teknolojia na Mawasiliano kwa Miezi 18-24 Ijayo.



Mkurugenzi wa Kampuni ya Deloitte nchini Kenya, Bw. Nikhil Hira akiongea katika mkutano na wadau wa teknolojia na mawasiliano leo ambapo alisema kuwa kwa utafiti mdogo ambao wameuanza unaonyesha kuwa watu wengi wamekuwa wakitizama TV kwa kutumia komputa. Mkutano huo ulifanyika  hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Deloitte nchini Uholanzi, Bw. Jean Diop akisisitiza jambo katika mkutano na wadau wa teknolojia na mawasiliano leo hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Wadau wa teknolojia na mawasilianowaliohuduria katika mkutano huo.
Mmoja ya wadau wa teknolojia na mawasiliano akiuliza swali.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment