Monday, February 18, 2013

BALOZI MWANAIDI SINARE MAAJAR ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA CHUO CHA DIPLOMASIA



Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Mhe.Mwanaidi Sinare Maajar akiwa kwenye
Picha ya Pamoja na Rais wa Marekani Barrack Obama,Mara baada ya kukabidhisha

hati ya utambulisho wa Balozi wetu Huyo Nchini Humo tarehe 16.09.2010


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Jakaya Mrisho kikwete

Amemteua Balozi Mwanaidi Sinare Maajar kuwa Mwenyekiti wa Bodi

ya Chuo cha Diplomasia(CFR) Kilichopo kurasini Jijini Dar Es Salaam.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment