Tuesday, February 19, 2013

BREAKING NEWS: KANISA LACHOMWA MOTO ZANZIBAR ASUBUHI HII


 
 
Breaking News:Kanisa moja limechomwa moto Visiwani ZNZ alfajiri ya leo na kwa Mujibu wa Kamishna wa polisi mjini MUSA ALI MUSA ,baadhi ya viti vya kanisa vimeungua na kwamba moto huo uliwahiwa kuzimwa kabla ya kusababisha madhara zaidi.Kwa taarifa zaidi endelea kuangalia ITV na Kusikiliza Radio One

SOURCE : ITV
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment