Wednesday, April 24, 2013

NAKAYA KURUDI KWENYE GAME NA MIMBA YA MIEZI MIWILI



Hit maker wa "Mr Politician" Nakaaya Sumari, baada ya kukaa kimya kwa mda mrefu, amezungumza na Amplifaya ya Clouds Fm na kuthibitisha kuwa ana ujauzito ambao ni miezi kadhaa tu atajifungua.Alipoulizwa kuhusu baba wa mtoto huyo, Nakaya alicheka kwanza na kusema kuwa ni wa mtakatifu, na kugoma kabisa kumtaja baba wa mtoto huyo mtarajiwa, huku akisema kuwa sio wa mtu yeyote anaejulikana.
blog hii inakutakia li;a la kheri na ujifungue salama
hivi sasa pia Nakaaya ameachia wimbo mpya unaoitwa "Utu Uzima Dawa" akiwa amemshirikisha producer Dunga, ukiwa umetengenezwa chini ya producer Lamar "Fish Crab"
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment