Tuesday, April 16, 2013

MLIPUKO WA MABOMU MAREKANI UMEHUZUNISHA WENGI, HASA VIFO VYA HAWA WATOTO


.
.
.
Huyu mtoto anaitwa Martin Richard na ana umri wa miaka 8, alifariki dunia baada ya mlipuko wa mabomu mawili kwenye mbio za riadha huko Boston Marekani wakati akimsubiri Baba yake mzazi amalize riadha, hii picha ni ya siku zilizopita.
kwa mujibu wa Golbal Grind
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment