Saturday, April 27, 2013

JB ATANGAZA ATAKAPOGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015, SOMA ALICHOKISEMA HAPA


JB ATANGAZA ATAKAPOGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015, SOMA ALICHOKISEMA HAPA

HATIMAYE nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Jacob Stephen Mbura ‘JB’ amelianika jimbo atakalogombea ubunge mwaka 2015. JB aliyaongea hayo mwanzoni mwa wiki hii, jijini Dar es Salaam ambapo alisema macho yake yote yapo  Mkoa wa Dar es Salaam ambao una majimbo nane. JB: ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

KAMA ULIKUA HUJUI, HILI NDO KANISA HUKO UINGEREZA AMBALO WAMEAMUA KUSHARE NA WAISLAMU. CHEKI PICHA NA STORY HAPA


KAMA ULIKUA HUJUI, HILI NDO KANISA HUKO UINGEREZA AMBALO WAMEAMUA KUSHARE NA WAISLAMU. CHEKI PICHA NA STORY HAPA

A Scottish church has become the first in the UK to share its premises with Muslim worshippers. According to Daily Mail, St John’s Episcopal Church in Aberdeen now welcomes hundreds of Muslims praying five times a day in their building as the nearby mosque was so small that they ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

HAYA NDIYO MAKOSA MATATU YALIYOMNYIMA DHAMANA MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA JANA JIONI NA KUSUBIRI KUFIKISHWA MAHAKAMANI JUMATATU


HAYA NDIYO MAKOSA MATATU YALIYOMNYIMA DHAMANA MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA JANA JIONI NA KUSUBIRI KUFIKISHWA MAHAKAMANI JUMATATU

Mambo yaliyomfanya Mbunge wa arusha Godbless Lema akamatwe na kunyimwa dhamana jana  jioni ni haya yafuatayo baada ya kuongea na Mwanasheria wa Lema wakili Humphrey Mtui i)Kosa la kwanza ni.. kuwaambia wanafunzi wa chuo cha uhasibu alipoenda kuwatuliza kuwa ‘dhambi ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Meet The Most Beautiful Woman In The World 2013, Saudi Arabian Queen Fatima Zohar-Godabari


Meet The Most Beautiful Woman In The World 2013, Saudi Arabian Queen Fatima Zohar-Godabari

April 24, 2013 - Meet The Most Beautiful Woman In The World 2013, Saudi Arabian Queen Fatima Zohar-Godabari They say beauty is in the eye of the beholder but this type of natural beauty is very exceptional. Meet the most beautiful woman in the world 2013, Saudi ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Friday, April 26, 2013

SOMA MAKA LA ALIYOANDIKA LEMA AKIELEZEA UKWELI WA TUKIO ZIMA KUHUSU FUJO ZILIZOTOKEA CHUONI ARUSHA


SOMA MAKA LA ALIYOANDIKA LEMA AKIELEZEA UKWELI WA TUKIO ZIMA KUHUSU FUJO ZILIZOTOKEA CHUONI ARUSHA

  Majira ya saa nne asubuhi 24/04/2013 nilipokea taarifa kutoka Chuo cha Uhasibu juu ya tukio la mauaji ya mwanafunzi yaliyotokea jana usiku kwa kuchomwa kisu eneo karibu na chuo , nilipita Chuoni hapo baada ya kusikia taarifa hiyo , nilikuta Wanafunzi wengi sana wakiwa ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

MATUKIO YOTE MAANDALIZI YA MAZISHI YA MWANAFUNZI ALIYE UWAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MWILI WAKE UKIWASILI IRINGA LEO HII TOKA ARUSHA


MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

CHECK OUT WEMA AWASILI ARUSHA CHINI YA ULINZI MKALI, ALINDWA NA MABAUNSA KILA KONA. CHEK HAPA


CHECK OUT WEMA AWASILI ARUSHA CHINI YA ULINZI MKALI, ALINDWA NA MABAUNSA KILA KONA. CHEK HAPA

Kwa mara nyingine staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu anatengeneza kichwa cha habari baada ya kuacha historia jijini Arusha kufuatia ulinzi mkali aliokuwa nao, Ijumaa lina data zote. Habari za uhakika zilieleza kuwa Wema na timu ya wafanyakazi katika ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

DEREVA WA BAJAJI AMFANYIA MBAYA MKE WA MTU


DEREVA WA BAJAJI AMFANYIA MBAYA MKE WA MTU

Mwanamke mmja ambaye ni mke wa mtu ambaye jina lake halikufahamika (pichani),hivi karibuni yalimkuta makubwa baada ya kuibiwa vitu vyake vyote vilivyokuwa ndani ya pochi na dereva wa Bajaj ambaye pia jina lake halikufahamika. Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilitokea ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA NI VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA


PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA NI VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA

Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema vurugu zinazoendelea bungeni zinasababishwa na Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kushindwa kujenga hoja na mbinu za kuwabana wabunge wa Chama Cha Mapinduzi ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

JAGUAR AWA MSANII WA KWANZA KUTOKA KENYA KUMILIKI NDEGE BINAFSI


JAGUAR AWA MSANII WA KWANZA KUTOKA KENYA KUMILIKI NDEGE BINAFSI

    Mwanamuziki kutoka Kenya, JAGUAR amenunua ndege binafsi ... Jaguar anaefanya vizuri kwenye muziki wake huko nchini Kenya na Africa kwa ujumla inasemekana he had purchased ndege yake hiyo binafsi siku za nyuma kipindi cha kampeni za uchaguzi nchini Kenya na ameshaitumia ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAFANA SANA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR LEO


SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAFANA SANA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR LEO

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam leo kuongoza Watanzania kusherehekea miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Pamoja naye kwenye gari hilo la wazi ni Mkuu wa Majeshi, ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

DIAMOND AWATAKA MADEMU WA LONDON WAJIPENDEKEZE ILI ACHAGUE WA KUSPENDI NAYE..


DIAMOND AWATAKA MADEMU WA LONDON WAJIPENDEKEZE ILI ACHAGUE WA KUSPENDI NAYE..

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anaendelea kutunisha akaunti yake baada ya kulamba shavu la shoo za kutosha nchini Uingereza ambapo ameahidi kurejea Bongo na mchumba rasmi atakayemtambulisha kwa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’. Mkali huyo wa ngoma ya Kesho alifunguka ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

BAADA YA ZITTO, NASSARI NAYE AANDIKA UJUMBE KUHUSU KUKAMATWA KWA LEMA USIKU WA JANA....SOMA ALICHOKIANDIKA


BAADA YA ZITTO, NASSARI NAYE AANDIKA UJUMBE KUHUSU KUKAMATWA KWA LEMA USIKU WA JANA....SOMA ALICHOKIANDIKA

Nimepata kwa mshtuko na nikakataa kuamini kama ni kweli kuwa polisi wa Arusha wamevamia na kuizingira nyumba ya mbunge mwenzangu wa Arusha, Lema.   Nimelazimika kumpigia simu RPC kuthibitisha na cha ajabu akaniambia ni kweli.   Nimemshauri kama kiongozi ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Hawa ndio Top 11 ya mastaa wa majuu wanaopenda kuonyesha mapaja yao ndani ya Hollywood


Hawa ndio Top 11 ya mastaa wa majuu wanaopenda kuonyesha mapaja yao ndani ya Hollywood

Pulling herself together … Gwyneth Rex Feature Jennifer Lopez How Lo can you go … Jennifer flashes the flesh Rex Features Rita Ora Hole lot of curves … Rita ditches the undies Rex Features Jessica Wright Jess Wright … TOWIE beauty pulls off the ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Hili Tusi Kwa Wanaume Wote wa Tanzania kutoka kwa Jini Kabula.Eti Mna.......?


Hili Tusi Kwa Wanaume Wote wa Tanzania kutoka kwa Jini Kabula.Eti Mna.......?

 Kinachoonekana  ni  kwamba  Jini  kabura  amesalitiwa  na  mpenzi  wake  na  hivi  ameamua  kuhamishia  hasira  zake  kwa  wanaume  wote..... Jini  kabura  ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

WAZUNGU WAMEENDELEA SANA, CHEKI PICHA NA VIDEO YA JAMAA AKIENDESHA BAISKELI YENYE UREFU WA FUTI 14. NI AJABU


WAZUNGU WAMEENDELEA SANA, CHEKI PICHA NA VIDEO YA JAMAA AKIENDESHA BAISKELI YENYE UREFU WA FUTI 14. NI AJABU

RIDING a giant bike is no tall order for this cyclist – as he cruises along busy roads sitting almost 15ft up in the air. Richie Trimble built the “Stoopid Tall” bike, which measures 14-and-a-half foot - almost as high as two phone boxes on top of each other. The ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

UWOYA KUJIPATI MILIONI 200 ZA BUREEEEE KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS. SOMA MCHEZO WOTE HAPA


UWOYA KUJIPATI MILIONI 200 ZA BUREEEEE KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS. SOMA MCHEZO WOTE HAPA

  Mfano wa sehemu ya fedha atazolipwa Uwoya Yule Diva anayetesa katika sinema za Bongo, Irene Pancras Uwoya ananukia utajiri ambapo hivi karibuni ‘anautarajia’ kuogelea kwenye mamilioni ya fedha kwa kukomba Shilingi Milioni 200 za madafu, Risasi Mchanganyiko ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Wednesday, April 24, 2013

NAKAYA KURUDI KWENYE GAME NA MIMBA YA MIEZI MIWILI


NAKAYA KURUDI KWENYE GAME NA MIMBA YA MIEZI MIWILI

Hit maker wa "Mr Politician" Nakaaya Sumari, baada ya kukaa kimya kwa mda mrefu, amezungumza na Amplifaya ya Clouds Fm na kuthibitisha kuwa ana ujauzito ambao ni miezi kadhaa tu atajifungua.Alipoulizwa kuhusu baba wa mtoto huyo, Nakaya alicheka kwanza na kusema kuwa ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PICHA ZA MWIGIZAJI KUTOKA NIGERIA ALIYELIPWA N5,000,000 ILI ANYOE NYWELE, AKINYOLEWA KWA WEMBE


PICHA ZA MWIGIZAJI KUTOKA NIGERIA ALIYELIPWA N5,000,000 ILI ANYOE NYWELE, AKINYOLEWA KWA WEMBE

Nigerian actress Chika Ike alias Fancy Nancy has sacrificed beauty for money. The talented actress cuts her hair on Monday the 22nd of April for a whopping N5 million reward. Chika Ike is following the footsteps of other Nollywood movie stars like Mercy Johnson, Oge ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PICHA NA TAARIFA KUTOKA KWA MWANAFUNZI WA ARUSHA, KUHUSU MWANAFUNZI MWENZAKE ALIYE UWAWA KIKATILI.


PICHA NA TAARIFA KUTOKA KWA MWANAFUNZI WA ARUSHA, KUHUSU MWANAFUNZI MWENZAKE ALIYE UWAWA KIKATILI.

Huyu Ndio Henry Aliye Uwawa Mbunge Wa Arusha Mjini Godbless Lema Akiwatuliza Wanafunzi Wa Chuo Hicho Taarifa Kutoka Kwa Mwanafunzi Mwandishi Kuhusu Taarifa Zinazo Sambaa Kwenye Chuo Cha Uhasibu Arusha Inasema Kuna Kijana Anaitwa Henry Ni Mwanafunzi Wa BEF ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.