LADY JAY DEE AWATOLEA UVIVU CLOUDS FM....AWAPONDA KINOMA, SOMA MWENYEWE ALICHOANDIKA
East African popular musician Lady Jay Dee ameamua kuwapa modongo Clouds fm kupitia Twitter leo kutokana na wimbo wake mpya uliotoka hivi karibuni Joto hasira kutopigwa katika radio hiyo. Jay dee ameandika kuwa radio ya watu isiyopiga nyimbo za wasanii wa watu ila wasanii ...
Read More