Saturday, March 30, 2013

LADY JAY DEE AWATOLEA UVIVU CLOUDS FM....AWAPONDA KINOMA, SOMA MWENYEWE ALICHOANDIKA


LADY JAY DEE AWATOLEA UVIVU CLOUDS FM....AWAPONDA KINOMA, SOMA MWENYEWE ALICHOANDIKA

East African popular musician Lady Jay Dee ameamua kuwapa modongo Clouds fm kupitia Twitter leo kutokana na wimbo wake mpya uliotoka hivi karibuni Joto hasira kutopigwa katika radio hiyo. Jay dee ameandika kuwa radio ya watu isiyopiga nyimbo za wasanii wa watu ila wasanii ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Katika hali ya kutatanisha Korea Kaskazini yatangza vita na Korea kusini.


Katika hali ya kutatanisha Korea Kaskazini yatangza vita na Korea kusini.

  Korea Kaskazini hii leo imesema inaingia katika hali ya vita na Korea Kusini, katika muendelezo wa vita vya maneno dhidi ya utawala mjini Seoul na Washington, baada ya kuwekewa vikwazo vya kimataifa kufuatia jaribio lake ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO MAR 30 2013.


KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO MAR 30 2013.

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Friday, March 29, 2013

Rais Kikwete atembelea Jengo lililoporomoka Dar Es Salaam leo.


Rais Kikwete atembelea Jengo lililoporomoka Dar Es Salaam leo.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar es salaam leo akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete kujionea mwenyewe jengo lililoporomoka asubuhi saa mbili na nusu leo Machi 29, 2013 ambapo hadi ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

NAFASI ZA KAZI 1,134 KUTOKA SERIKALINI....BOFYA HAPA


NAFASI ZA KAZI 1,134 KUTOKA SERIKALINI....BOFYA HAPA

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia Watanzania wenye sifa na uwezo kujaza nafasi wazi za kazi kama zilivyo katika Tangazo la Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.Kwa mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

BREAKING: IDADI YA MIILI ILIYOPATIKANA NA MAJERUHI MPAKA SASA BAADA YA GOROFA KUPOROMOKA LEO DAR


MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PICHA 6 ZA JENGO LA GOROFA LILILOANGUKA LEO DAR ES SALAAM


PICHA 6 ZA JENGO LA GOROFA LILILOANGUKA LEO DAR ES SALAAM

. . . Picha zimepigwa na Ramadhani. Kwa maelezo ya shuhuda, inasemekana limeanguka saa moja asubuhi ambapo kwa muda huo kulikua na watoto wa kihindi wanacheza mpira, kulikua na vibarua ambao wanataka kumwaga zege kuendelea na ujenzi na ndio walikua wanabadilisha ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

HII NDIO RIPOTI YA MAKONGO HIGH SCHOOL KUHUSU KUFELI KWA DOGO JANJA NA UTORO ULIOKITHIRI


HII NDIO RIPOTI YA MAKONGO HIGH SCHOOL KUHUSU KUFELI KWA DOGO JANJA NA UTORO ULIOKITHIRI

Baada ya taarifa kuenea kuhusu uwepo wa msanii Dogo Janja nchini Afrika Kusini kwa show alizopata zilizofanyika ndani ya wiki tatu, Uongozi wa shule anayosoma ya Makongo Sekondari, umetoa taarifa kuhusu mwenendo wake pamoja na matokeo aliyopata ya kidato cha pili.   ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PICHA 5 ZA MAREHEM STIVEN KANUMBA AKIWA KATIKA SCENE ZA MOVIE YAKE YA MWISHO.


PICHA 5 ZA MAREHEM STIVEN KANUMBA AKIWA KATIKA SCENE ZA MOVIE YAKE YA MWISHO.

Ni siku chache zimebaki kufika April,7 siku ya kukumbuka kifo cha Marehem Stiven Kanumba,ambapo atakua akitimiza mwaka mmoja tangu atutoke Dunian. Katika kumuenzi Marehem litafanyika tamasha kubwa na la bure kabisa pale Leaders Club, Watu kutoka sehem mbali mbali za tanzania ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.