Thursday, May 2, 2013

R.I.P Chris Kelly wa "Kriss Kross"


R.I.P Chris Kelly wa "Kriss Kross"

Rapa Chris Kelly a.k.a Mac Daddy wa kundi la zamani la Kriss Kross amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 34. Imeripotiwa kwamba rapa huyo alikutwa nyumbani kwake huko Atlanta akiwa hana fahamu na kutangazwa kuwa amekwisha kufa baada ya kupelekwa huko Atlanta Medical Center.

Chanzo cha kifo chake hakijajulikana bado.

Hii ni moja ya nyimbo kali zilizo-hit 'miaka ya tisini' kutoka kwa Kriss Kross - Jump

http://youtu.be/010KyIQjkTk
R.I.P Chris Kelly wa "Kriss Kross"

Rapa Chris Kelly a.k.a Mac Daddy wa kundi la zamani la Kriss Kross amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 34. Imeripotiwa kwamba rapa huyo alikutwa nyumbani kwake huko Atlanta akiwa hana fahamu na kutangazwa kuwa amekwisha kufa baada ya kupelekwa huko Atlanta Medical Center.

Chanzo cha kifo chake hakijajulikana bado.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment