
As anavyojiita Hotlulumichael, kuna pande mbili zilishirikiana kumpata yeye na huo u-hottness wake..Nazungumzia upande F na upande M. So, kama wewe ni shabiki wa Hotlulumichael, basi utakuwa ushamuona mara nyingi aki-post picha kibao akiwa na mamaa(F) yake . Hatujahi kuskia ishu ya baba yake, labda mara moja tu kupitia gazeti la udaku. Lakini recently Hotlulumichael amerusha baba yake akiandika na caption kama inavyosomeka hapo juu. I hope ur glad to see the man na je?, Lulu is hot sawa…but she got it from her mama au papa??
No comments:
Post a Comment