Sunday, May 19, 2013

HAYA NDIO MAJIBU YA HALIMA MDEE KUHUSU STORY ZA YEYE AKUJIHUSISHA NA MAPENZI YA JINSIA MOJA


Kupitia season mpya ya Clouds Fm, ndani ya so 
so fresh na fetty, Mh Halima Mdee jana 
amefunguka juu ya swali aliloulizwa kuhusu
 story zilizosambaa kuwa 
anashiriki mapenzi ya 
jinsia moja.

aah unajua huwezi kuzuia watu kusema, 
na mimi huwa sihangaiki na watu wanasema nini,
 lakini ukitaka kumjua Halima unaweza
 ukamchunguza kirahisi sana, kwa
 kumuangalia alipotoka, 
historia yake na mahusiano yake,
 ambayo mengine ni wazi sana watu 
walikuwa wanayajua, 
watu wanapenda ku speculate pale 
ambapo wanaona kitu ambacho hawati kuona, 
sasa hilo swala lilishaandikwa sana, 
nadhani walioandika baadae wakaja 
kuomba radhi kwasababu waligundua 
wameandika kitu kisicho sahihi, 
probably kutokana na sauti yangu you know, 
probably kutokana na tembea yangu, 
kwasababu mimi nimekulia kwenye 
familia ya wanaume watupu umeona eeh,
 mimi nimekuwa ni mpambanaji tokea utotoni, 
kwasababu nimezungukwa na jeshi la kibabe,
 thats who iam, lakini mtu anaetaka kumjua
 Halima na ana uhuru tu, hata akitaka niwatajie
 list ya watu wangu i can do that, 
 lakini sidhani kama is their damn business, 
cause ma life is personal, 
na wakitaka kuchunguza wachunguze 
kwa mpango wao na watapata taarifa, 
 kwa uhuru tu, na wanaweza wakatoa tangazo kwamba
 jamani watu waliowahi kuwa na 
uhusiano na huyu if any wajitokeze, watajitokeza
 kama wapo upande huo, watajitokeza
 kwasababu sasa hivi si dunia huru bana
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment