Friday, May 17, 2013

NEWS: T.I.D AJITOA KWENYE SHOW YA MIAKA 13 YA LADY JAY DEE...



 
MNYAMA...U CAN CALL HIM T.I.D a.k.a TOP IN DAR,LEO KUPITIA FANPAGE YAKE YA FACEBOOK AMEFUNGUKA MENGI KUPITIA YEYE KUJITOA KWENYE SHOW INAYOFUATA YA LADY JAY DEE AMBAYO ITAFANYIKA TAREHE 31 MWEZI HUU.



''
three reason why i cant do lady JIDE SHOW .............No.1 i have better contract pays me better than.No.2 i really dont want to be between anybodys conflict ya kwangu yananishinda naona nieupushe shari...No.3 nataka kuoa muda wangu ndo huu ...............kama nimekukosea captein na madame kazeni but i have been thru same shit.........''ALIANDIKA T.I.D.


MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment