Monday, May 20, 2013

Breaking News:Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Anna Makinda,amelazimika kuliahirisha bunge kwa dharura


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Anna Makinda,amelazimika kuliahirisha bunge kwa dharura ili kutoa nafasi kwa Kamati ya kudumu ya maadili ya bunge kupitia hotuba ya makadirio ya wizara ya Habari,Vijana utamaduni na michezo,iliyokuwa inawasiliashwa na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ambaye ni msemaji wa kambi ya upinzani kwa wizara hiyo kwa maelezo kuwa hotuba hiyo ilikuwa imejaa uchochezi.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment