Friday, February 22, 2013

Jisajili Hapa Kwa wanaotaka kufanya mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) mwezi Novemba 2013 kama watahiniwa wa kujitegemea Kwa huraisi


Jisajili Hapa Kwa wanaotaka kufanya mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) mwezi Novemba 2013 kama watahiniwa wa kujitegemea Kwa huraisi

T A N G A Z O    Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani la Tanzania anapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) mwezi Novemba 2013 kama watahiniwa wa kujitegemea ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Upinzani nchini Djibout kushiriki uchaguzi wa bunge leo baada ya kususia kwa miaka 10.


Upinzani nchini Djibout kushiriki uchaguzi wa bunge leo baada ya kususia kwa miaka 10.

Uchaguzi wa bunge nchini Djibout unafanyika leo ambapo kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 10 upinzani unashiriki. Uchaguzi huu unafanyika miaka miwili baada ya rais Ismail Omar Guelleh kuchaguliwa kuongoza nchi hiyo kwa ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Thursday, February 21, 2013

Jack wa Chuzi amdhalilisha Isabale Kuhusu wanaume anaotembea nao Isabela


Jack wa Chuzi amdhalilisha Isabale Kuhusu wanaume anaotembea nao Isabela

WAKATI kukiwa na bifu la chini kwa chini kati ya wasanii wawili Jack wa Chuz na Isabela, hali imekuwa tofauti ambapo Jack ameamua kufunguka na kudai kuwa msanii huyo ni malaya na analala na wanaume walala hao, huku akijifanya ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

HICHI NDO WALICHO SEMA WEMA NA AUNT EZEKIEL KUHUSU PICHA WALIZOPIGWA WAKIKATA 'MAUNO'


HICHI NDO WALICHO SEMA WEMA NA AUNT EZEKIEL KUHUSU PICHA WALIZOPIGWA WAKIKATA 'MAUNO'

“Sisi tumecheza tumefurahi tu hawa waliofunga mtaa kututazama watakuwa wanataka kuona mavituzi yetu,” alisema Wema.    Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wakikata mauno.  Mpango mzima ulitokea hivi karibuni katika arobaini ya mtoto wa dada yake Wema iliyofanyika ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Acheni kutibiwa kwa Waganga wa Jadi nendeni Hospitali: Mama Salma Kikwete


Acheni kutibiwa kwa Waganga wa Jadi nendeni Hospitali: Mama Salma Kikwete

Mama Salma Kikwete Na Anna Nkinda, Maelezo  Lindi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa wilaya ya Lindi mjini  kujenga mazoea ya kwenda hospitali kupima afya zao mara kwa  mara na kuachana ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Kampuni ya Deloitte yafanya Utafiti wa Teknolojia na Mawasiliano kwa Miezi 18-24 Ijayo.


Kampuni ya Deloitte yafanya Utafiti wa Teknolojia na Mawasiliano kwa Miezi 18-24 Ijayo.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Deloitte nchini Kenya, Bw. Nikhil Hira akiongea katika mkutano na wadau wa teknolojia na mawasiliano leo ambapo alisema kuwa kwa utafiti mdogo ambao wameuanza unaonyesha kuwa watu wengi wamekuwa wakitizama ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

RAIS WA KENYA AZINDUA BARABARA YA MWAI KIBAKI JIJINI DAR ES SALAAM LEO


RAIS WA KENYA AZINDUA BARABARA YA MWAI KIBAKI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Mwai Kibaki wa Kenya wakiongozwa na Meya wa Kinondoni Mstahiki Yusuph  Mwenda kutembea hatua chache kabla ya kuzindua rasmi jina la Barabara ya Mwai Kibaki linalochukua nafasi ya jiba la barabara ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PICHA ZA NGONO ZA RAYUU ZA SAMBAA MTANDAONI


PICHA ZA NGONO ZA RAYUU ZA SAMBAA MTANDAONI

MTANDAO wetu, umezinasa picha kadhaa za msanii Rayuu zinazomuonesha akiwa kwenye tendo la ndoa na mwanaume ambaye hajajulikana mara moja, ambazo kati ya hizo nyingine hazifai kuonekana machoni mwa watu kutokana na uvunjaji wa maadili. Picha hizo zimeonekana kwenye ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Wednesday, February 20, 2013

Hiki ndio alichosema Dr.Cheni Kuhusu Kurudi kwa Lulu Shule Rasmi


Hiki ndio alichosema Dr.Cheni Kuhusu Kurudi kwa Lulu Shule Rasmi

BAADA ya kupata dhamana msanii wa filamu Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu ajipanga kujiendeleza na masomo ili aweza kupambana na changamoto za maisha. Akizungumza na Maisha msanii wa filamu ambaye pia amekuwa ni mtu wa karibu  familia ya Lulu Mahfudh ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Tuesday, February 19, 2013

HALI ILIVYO KUWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JANA KATIKA KESI YA SHEKH PONDA


HALI ILIVYO KUWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JANA KATIKA KESI YA SHEKH PONDA

    Kesi ya Uchochezi na Uharibifu wa mali inayo mkabili Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake leo imeendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam huku Polisi wakiwa katika doria kali ya kuimarisha ulinzi katika viunga jirani na Mahakama ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.