Saturday, July 7, 2012

TIMU YA SIMBA WAIKANDAMIZA TIMU YA YANGA WABUNGE KWA PENALTI 3-2



 Simba wakiingia uwanjani kupasha misuli.

 
 Yanga wakijichua kwa ajili ya mtanange na watani wao wa jadi Simba.
Mechi ya watani wa jadi
 Wachezaji wa Yanga na Simba (Wabunge) wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya mechi kuanza.
Zitto Kabwe akitoa pasi.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment