Wednesday, October 10, 2012

SINTAH VS RAYUU,SINTA AMCHANA RAYUU KWA KUTAFUTA UMAARUFU KWA KUACHIA PICHA ZAKE ZA UTUPU


Baada ya muigizaji wa filamu na video model maarufu kwa jina la Rayuu kusambaza picha mtandaoni zikionesha tattoo alizojichora kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wake kama kiunoni, shingoni, kwenye maziwa, makalio na mapaja, watu mbalimbali wamejitokeza na kumponda.
Miongoni mwao ni mtangazaji wa kipindi cha Harusini cha DTV, Sinta aliyeamua kuitumia website yake kumpa somo mugizaji huyi aliyeigiza filamu kama The Image, Trinita Show, Sound of Death, One House na zingine.

“Hivi mtasema mimi namuonea kuandika hivi ama?? mimi ni mtambo wa kurekebisha tabia kwakweli waigizaji wengine wanatafuta umaarufu kwa kasi sana,sasa huyu so called msanii wa
Bongo wa filamu anataka atoke,na ameshatoka sasa,una pose upigwe picha ili watu wakuone ktk mitandao ili iweje? kama sio kutaka umaarufu kunuka,” ameandika Sinta.
“Rayuu or whatever u call ya self wewe ni msichana mzuri kwanini unakimbizana na umaarufu ?waacha umaarufu ukufuate sio wewe uu kimbize ndio maana watu wanawachukulia cheap kwasababu ya matendo yenu ya kukurupuka na upungufu wa mawazo. You wanna be rihhana sio? shame on you!!!!!!!!!!!!!!!!!!”

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment