Sunday, October 21, 2012

Ommy Dimpoz amkamata Lord Eyes akiiba Power windows na vifaa vingine vya gari yake.


Jioni ya leo Ommy dimpoz kupitia akaunti yake ya twitter ametweet kwamba amemkamata rapper wa Nako 2 Nako Lord eyes akiiba vifaa vya gari yake ikiwa ni pamoja na Power windows. Jionee mwenyewe picha alizoweka Ommy dimpoz pamoja na tweets zake.

Jionee picha mwenyewe.

Lord Eyes kwenye eneo la tukio






Ommy aliongeza kuwa Lord amekuwa akifanya mchezo huo kwa watu wengi akiwemo jamaa mmoja wa Clouds anaefahamika kwa jina la Kerry ambae pia amemfanyia mchezo huo siku za karibuni.


VIA: suleimanmagoma.blogspot.com
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment