NECTA yatangaza upya Matokeo ya Kidato cha Nne 2012
ANGALIA KWA KUBOYEZA HAPA CHINI BONYEZA HA ...
Read MoreANGALIA KWA KUBOYEZA HAPA CHINI BONYEZA HA ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Dillish na Nando wakioga Jana (May 29) ilikuwa ni usiku wa tatu katika jumba la big brother Afrika huko Afrika Kusini mengi yanazidi kuonekana na sasa washiriki wengi wanaanza kuonesha side B ya mioyo yao na kujaribu kupata muda wa kuwa romantic na kuonesha upendo (Romantic ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Mwanafunzi akiwa kitandani tayari kwa kutolewa mimba MUUGUZI wa kike, Violet Shoo, mkazi wa jijini Dar ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi Kituo cha Buguruni, Ilala baada ya kunaswa katika jaribio la kutaka kumchoropoa ujauzito msichana mmoja aliyepandikizwa kama mwanafunzi ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
KWA mujibu wa taarifa iliyotolewa na baba yake mdogo kupitia East Africa Radio leo asubuhi, mazishi ya rapper Albert Mangwea aliyefariki jana katika hospitali ya St. Helen jijini Johannes burg, Afrika Kusini yanaweza kufanyika mjini Morogoro. “Tumekubaliana kwamba ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Jina lake halisi ni Albert Keneth Mangweha, ana asili ya Ruvuma (Mngoni) lakini alizaliwa Mbeya 16 Novemba 1982 akiwa mtoto wa mwisho. Kwa baba yake alikuwa mtoto wa 10 na kwa mama ni mtoto wa 6 kuzaliwa.Akiwa na miaka 5 alihama Mbeya na kuhamia Morogoro ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Habari zilizopatikana muda huu zinasema kuwa familia ya Mangwea inajipanga kutuma ndugu kwenda Africa Kusini leo (May 29) kwaajili ya kufanya utaratibu wa kurudi na mwili wa Marehemu Albert Mangwea. Akiongea na Bongo5 muda mfupi uliopita dada wa marehemu aitwaye ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
The Medical report from Helen Joseph hospital,Dr Shirley Radcliffe confirming that albert Mangwairdied from “alcohol toxicity” after drinking toomuch,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Aliyewekewa kivuli ndo aliyempeleka Msanii Albert Mangwair hospitalini na chini inaonekana tweet yake iliyoandikwa tarehe 26/5/2013. Endelea kutembelea http://www-kingsele.blogspot.com/ kwa habari zaidi. ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Ripoti kamiliTaarifa Nilizo Pata Kutoka SouthAfrica Kutoka Kwa HusseinOriginal Ambaye Yupo PretoriaAmesema Ngwear Amefariki LeoAsubuhi. Alikuwa Ghetto Moja NaMsanii M To The P. Walivyokwenda KuwagongeaAsubuhi Walikuta NgwearAmefariki Na M To The PAmepoteza Fahamu Kabisa. PiaDaktari ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Joyce Ndalichako ******* Dar es Salaam. Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Siku za hivi karibuni kumeibuka madai kuwa actress Yobnesh Yusuph(Batuli) amezaa na muigizaji mwenzake Vicent Kigosi(Ray) kwa mtoto wa Batuli anayeitwa Jaheim kudaiwa kufanana sana na Ray na hata baada ya Batuli kuweka picha za mtoto huyo facebook baadhi ya watu walitoa maoni ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
INAUMA sana! Wakati wazazi wakihenyeka na wakati mwingine kujinyima ili mabinti zao waweze kupata elimu bora itakayowasaidia maishani mwao wapo wapuuzi wanaokatisha jitihada hizo.Mwanaume mmoja aitwaye Taliki Juma mkazi wa Temeke – Wailesi jijini Dar es Salaam ameingia katika ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Jeneza lilibeba mwili wa marehemu Chinua Achebe Raisi wa Nigeria Goddlucky Jonathan Mmoja wa waombelezaji ambaye ni muuzaji wa vitabu hapo Nigeria Raisi wa Nigeria na Raisi wa Ghana wakiwapungia waombolezaji Mke wa Marehemu Christie Achebe RIP ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani mh Jakaya Kikwete leo akihutubia ktk Mkutano wa CCM mkoani Dodoma huku akionekana mwenye hasira, amesema kua Serikali haipo tayari kuwavumilia wale wote wanachochea wananchi kufanya Vurugu baada ya Waziri wa Nishati ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akitoa maelekezo kwa Mkurugenzi wa Sera na Mipango Gasper Mwembezi wa wizara hiyo. Mbunge wa Kawe Mhe. Halima Mdee (CHADEMA ),pamoja na Mhe. Ester Bulaya (Viti Maalumu-CCM)) ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Msanii maarufu wa bongo flava Joseph Haule aka Proffesor Jay, leo hii amejiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kukabidhiwa kadi yake ya uanachama mjini Dodoma. &nbs ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Meli ikiwa inazama na ikiwa imezungukwa na mitumbwi pamoja na boti ambazo zilisaidia kwenye uhokoaji MV Bukoba ikiwa inazama ilikuwa ni tarehe 21 mei 1996 Makaburi ya Igoma ambako ndugu zetu waliokuwa wakisafiri kwa meli ya MV Bukoba walizikwa. RIPOTI ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Imetengenezwa na: MWARICK IT SOLUTIONS Copyright © 2016, Haki Zote Zimehifadhiwa.