Tuesday, August 28, 2012

JAMAA MMOJA ASINGIZIWA KAIBA SIMU APIGWA NUSU KUFA


JAMAA MMOJA ASINGIZIWA KAIBA SIMU APIGWA NUSU KUFA

 RAIA WENYE ASILA KALI WAKIMPIGA HAPA BAADA YA POLISI KUFIKA   JAMAA AKIWA NA MDADA JAMAA AMBAE JINA LAKE LIMEIFAZIWA ALIPELEKWA KATIKA KITUO CHA POLISI WILAYANI MAGU PAMOJA NA DADA HUYO ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

MSIMAMO WANGU VURUGU,RISASI,KUJERUHI NA “KUUA” MOROGORO – JOHN MNYIKA.


MSIMAMO WANGU VURUGU,RISASI,KUJERUHI NA “KUUA” MOROGORO – JOHN MNYIKA.

Niliwahi kutahadharisha baada ya tukio la Dkt Stephen Ulimboka kuwa serikali imeanza kutumia mbinu haramu kudhibiti fikra mbadala, CCM imeanza kuongoza serikali kiimla na ipo siku umma utafikia hatua ya kukiona kama chama cha mauaji. Raia watatu wasio na hatia wamefyatuliwa ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Monday, August 27, 2012

VURUGU ZA FFU, CHADEMA MOROGORO, ZASABABISHA KIFO CHA MTU MMOJA


VURUGU ZA FFU, CHADEMA MOROGORO, ZASABABISHA KIFO CHA MTU MMOJA

Mkurugenzi wa Mafunzo wa CHADEMA, Benson Kigaila akionyesha alama ya V wakati akiwa chini ya ulinzi ndani ya gari la Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU)  FFU wakiwa katika Doria.  Mwili wa aliyekuwa muuza magazeti katika ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Sunday, August 26, 2012

MWENYEKITI WA VIJANA (W) CHAMA CHA MAPINDUZI ALUDISHA KADI YA CHAMA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA WILAYANI MAGU MBELE YA MH, RENATUS PAMBA DIWANI WA SINZA


MWENYEKITI WA VIJANA (W) CHAMA CHA MAPINDUZI ALUDISHA KADI YA CHAMA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA WILAYANI MAGU MBELE YA MH, RENATUS PAMBA DIWANI WA SINZA

Ndg, FAUSTINE JOHN MAARUFU (KOSOVO)  Alikuwa Mjumbe Mkuu UVCCM Wilaya Pia Alikuwa Mjumbe wa Nec na Ngazi Nyingine Nyingi Katika Chama Cha Mapiduzi Alirudisha Kadi ya Chama Hicho huku akisema Alidanganya Kwa wingi wa Madaraka Ndani ya chama Siku Zote na Hadi Leo Ajaona Mabadiliko ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Friday, August 24, 2012

MWENYEKITI WA GYMKHANA ATIMULIWA


MWENYEKITI WA GYMKHANA ATIMULIWA

Wanachama wa klabu ya Gymkhana juzi walimuondoa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ali Mafuruki (pichani) na viongozi wenzake na kuundwa kamati ya muda inayokaa madarakani hadi Septemba mwaka huu. Katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo ndani ya viwanja ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

POLISI YAWA ONYA WATAKAO TIBUA ZOEZI LA SENSA


POLISI YAWA ONYA WATAKAO TIBUA ZOEZI LA SENSA

  Kamishna wa polisi anayeshughulikia operesheni na mafunzo (CP), Paul Chagonja, akitangaza msimamowa polisi jana, kuhusiana na wanaofanya mpango wa kuhamasisha watu kutohesabiwa kwenye zoezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kuanza Jumapili Agosti 26, ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

UFAFANUZI OPARESHENI YA KUWAONDOA WAVAMIZI WA ARDHI ENEO LA MADALE NA ZOEZI LA SENSA JIJINI DAR ES SALAAM WATOLEWA


UFAFANUZI OPARESHENI YA KUWAONDOA WAVAMIZI WA ARDHI ENEO LA MADALE NA ZOEZI LA SENSA JIJINI DAR ES SALAAM WATOLEWA

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kufafanua oparesheni ya kuwaondoa wavamizi wa ardhi katika eneo la Madale na zoezi la Sensa ya watu na makazi leo jijini Dar es salaam.  UFAFANUZI OPARESHENI YA ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

UN YATEMBELEA VIJANA KUWAHAMASISHA KUWA WAJASIRIAMALI ILI KUPUNGUZA UMASIKINI.


UN YATEMBELEA VIJANA KUWAHAMASISHA KUWA WAJASIRIAMALI ILI KUPUNGUZA UMASIKINI.

Bi. Harriet Macha kutoka Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) akizungumza na mtandao wa vikundi vya vijana kata ya Kibada -Kigamboni akiwaeleza jinsi Umoja wa Mataifa unavyohusika katika maendeleo ya vijana ikiwemo kuwaelimisha haki zao, kuwawezesha kujitambua ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Tuesday, August 21, 2012

WARAKA WA RAIS WA TAFF KWA MAHARAMIA WA FILAMU


WARAKA WA RAIS WA TAFF KWA MAHARAMIA WA FILAMU

Simon Mwakifwamba Rais wa Shirikisho la Filamu Swahiliwood. HAKUNA mtu asiyependa maendeleo ya mtu mwingine ambayo ni halali, lakini mtu anapobaini kuwa haki yake imeibiwa na kubaini mwizi ni ndugu yake ambaye yupo karibu naye upata maumivu makali yasiyosemekana, ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.