JAMAA MMOJA ASINGIZIWA KAIBA SIMU APIGWA NUSU KUFA
RAIA WENYE ASILA KALI WAKIMPIGA HAPA BAADA YA POLISI KUFIKA JAMAA AKIWA NA MDADA JAMAA AMBAE JINA LAKE LIMEIFAZIWA ALIPELEKWA KATIKA KITUO CHA POLISI WILAYANI MAGU PAMOJA NA DADA HUYO ...
Read MoreRAIA WENYE ASILA KALI WAKIMPIGA HAPA BAADA YA POLISI KUFIKA JAMAA AKIWA NA MDADA JAMAA AMBAE JINA LAKE LIMEIFAZIWA ALIPELEKWA KATIKA KITUO CHA POLISI WILAYANI MAGU PAMOJA NA DADA HUYO ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Niliwahi kutahadharisha baada ya tukio la Dkt Stephen Ulimboka kuwa serikali imeanza kutumia mbinu haramu kudhibiti fikra mbadala, CCM imeanza kuongoza serikali kiimla na ipo siku umma utafikia hatua ya kukiona kama chama cha mauaji. Raia watatu wasio na hatia wamefyatuliwa ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Mkurugenzi wa Mafunzo wa CHADEMA, Benson Kigaila akionyesha alama ya V wakati akiwa chini ya ulinzi ndani ya gari la Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) FFU wakiwa katika Doria. Mwili wa aliyekuwa muuza magazeti katika ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Ndg, FAUSTINE JOHN MAARUFU (KOSOVO) Alikuwa Mjumbe Mkuu UVCCM Wilaya Pia Alikuwa Mjumbe wa Nec na Ngazi Nyingine Nyingi Katika Chama Cha Mapiduzi Alirudisha Kadi ya Chama Hicho huku akisema Alidanganya Kwa wingi wa Madaraka Ndani ya chama Siku Zote na Hadi Leo Ajaona Mabadiliko ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Wanachama wa klabu ya Gymkhana juzi walimuondoa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ali Mafuruki (pichani) na viongozi wenzake na kuundwa kamati ya muda inayokaa madarakani hadi Septemba mwaka huu. Katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo ndani ya viwanja ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Kamishna wa polisi anayeshughulikia operesheni na mafunzo (CP), Paul Chagonja, akitangaza msimamowa polisi jana, kuhusiana na wanaofanya mpango wa kuhamasisha watu kutohesabiwa kwenye zoezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kuanza Jumapili Agosti 26, ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kufafanua oparesheni ya kuwaondoa wavamizi wa ardhi katika eneo la Madale na zoezi la Sensa ya watu na makazi leo jijini Dar es salaam. UFAFANUZI OPARESHENI YA ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Bi. Harriet Macha kutoka Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) akizungumza na mtandao wa vikundi vya vijana kata ya Kibada -Kigamboni akiwaeleza jinsi Umoja wa Mataifa unavyohusika katika maendeleo ya vijana ikiwemo kuwaelimisha haki zao, kuwawezesha kujitambua ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Simon Mwakifwamba Rais wa Shirikisho la Filamu Swahiliwood. HAKUNA mtu asiyependa maendeleo ya mtu mwingine ambayo ni halali, lakini mtu anapobaini kuwa haki yake imeibiwa na kubaini mwizi ni ndugu yake ambaye yupo karibu naye upata maumivu makali yasiyosemekana, ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Imetengenezwa na: MWARICK IT SOLUTIONS Copyright © 2016, Haki Zote Zimehifadhiwa.