Sunday, December 2, 2012

AY; ANGALIA PICHA NAMNA AY ALIVYOSHEREHEKEA NA WASHKAJI ZAKE KATIKA PART YAKE!




Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama A.Y.baada ya kuwania tuzo ya Channel O Most Gifted East African Award huko nchini South African.
Siku ya jana katika maeneo ya Nyumbani Lounge aliweza kualika ndugu,jamaa na marafiki ili waje kusherekea ushindi wa tuzo hiyo pia bila kusahau mastaa mbalimbali walijitokeza kwa wingi.
                                                           Mchizi Mox,marafiki wa A.y
                                                                      Ommy Dimpoz
                                                       Bonny Love akiwa Mchizi Mox
                                                  Gerry Rhymes,Mchizi Mox na Gk
                                                                 Fm kibonde na A.Y
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment