Tuesday, July 5, 2016

Picha zaidi Ajali ya basi kampuni ya 'City Boy' iliyotokea jana singida


Kamanda wa polisi mkoa singida Thobias Sedoyoka amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kwamba ajali hiyo inahusisha basi lenye usajili wa no T 531 BCE likitokea dar kwenda kahama na basi T 247 linalotoka kahama kwenda Dar yote ya kampuni moja CITY BOYS, yamegongana uso kwa uso na kuuwa abiria 24 papo hapo na kujeruhi wengine Kabla ya kuua watu, lilikamatwa na tochi likiwa na spidi 122km/hr. Kwa taarifa zaidi kuhusu ajali hiyo
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment