Timu ya kituo cha runinga cha Uingereza cha ITV News imefanya upepelezi katika soko la uuzaji wa pembe za ndovu nchini Tanzania kuonesha jinsi ilivyo rahisi kunununua bidhaa hiyo haramu.
Akijifanya
kama mfanyabiashara kutoka China, mwandishi wa kituo hicho alizungumza
na wafanyabiashara wa pembe hizo na kumhakikishia kuwa anaweza kupata
oda yake pembe za ndovu sita ndani ya wiki mbili baada ya wao kuingia
msituni na kwenda kuua tembo.
Timu
ya ITV News ikiwa kwenye kibanda chenye wafanyabiashara wa pembe za
ndovu ambao kwa nje wanaonekana wakifanya biashara ya vinyago na bidhaa
zingine za mikono
Kamera zilizokuwa zimefichwa ziliwarekodi wauzaji hao wakiahidi kuisaidia timu hiyo kusafirisha pembe hizo kwenda nchini China.
Tuesday, February 11, 2014
HOT NEWS: VIDEO KUTOKA ITV NEWS(UINGEREZA) ILIVYO PELELEZA BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU INAVYO FANYIKA TANZANIA, WACHUKUA VIDEO YA WAUZAJI BILA WAO KUJITAMBUA. TAZAMA
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU
Web Developer
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment