Tuesday, June 4, 2013

MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA WAWASILI JIJINI DAR , NA KUPELEKWA MUHIMBILI KUHIFADHIWA





 
 
Mwanamuziki kutoka kundi la wateule akiwa ameshiKa msalaba wa Albert Mangwair baada ya mwili wake kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius 
 











Pichani ni baadhi ya Watanzania wakiusubiria mwili wa marehemu Albert mangwair kuwasili uwanja wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere.


Baadhi ya mashabiki na wapenzi wa nyimbo za marehemu Albert Mangwair wakilia kwa uchungu Airport jijini Dar es salaam baada ya mwili wa kipenzi cha watu kuwasili


Mmoja wa marafiki na msanii Mangwair Banana Zorro akihojiwa na mwandishi wa habari wakati wakiusubiria mwili wa marehemu huyo
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment