Thursday, June 13, 2013

Breaking News: Langa afariki dunia leo hii.


Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa afariki dunia..
 
Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) amefariki dunia leo hii na  kwamba alipelekwa hospitali akiwa hajitambui. 

Bado taarifa za kina hazijapatikana juu ya kifo hicho, endelea kufuatilia hapa kwa taarifa zaidi.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment