Tuesday, November 6, 2012

NYANGUMI YAWAJERUHI WATU WATATU



Nyangumi

Watu watatu wamejeruhiwa baada ya Nyangumi kuibuka ghafla na kurukia boti waliyokua wakisafiria huko Eastern Cape Afrika Kusini.

Boti ilikua inakwenda polepole ghafla Nyangumi akajitokeza toka chini ya maji na kurukia hiyo boti, waliojeruhiwa ambao baadae kidogo waliokolewa na kikosi cha uokoaji ni mzee wa miaka 41 na abiria wengine wenye umri wa miaka 25 na mwingine 35.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment