Tuesday, November 26, 2013

Lady Jay Dee alivyoijibu kauli ya January Makamba twitter


Siku moja baada ya P Square kufanya show ya kihistoria Tanzania pale viwanja vya Leaders Club ,Mh January Makamba alivutiwa sana na walichofanya Wanageria wale na kutweet kuwa amependezwa sana na ile show lakini kwa upande wa nyumba tunatakiwa na sisi tujitahidi kuwainua wasanii wa hapa nyumbani ili siku moja wakashangiliwe kimataifa pia.
Ona Anaconda alivyojibu tweet ya Mh Makamba baada ya muda mchache baadae.




MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

No comments:

Post a Comment