Tuesday, July 31, 2012

ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013


ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013  MAELEKEZO MUHIMU Waombaji waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu katika mwaka wa masomo 2012/13 wanatakiwa kuripoti katika vyuo walivyopangiwa tarehe ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MWAKA WA MASOMO 2012/2013


ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MWAKA WA MASOMO 2012/2013

 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA  MWAKA WA MASOMO  2012/2013 MAELEKEZO MUHIMU Waombaji waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Stashahada katika mwaka wa masomo 2012/13 wanatakiwa kuripoti ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Saturday, July 28, 2012

BIBI ANAYEFUGA MISUKULE ACHOMEWA NYUMBA


BIBI ANAYEFUGA MISUKULE ACHOMEWA NYUMBA

Nyumba ilichomwa moto na kuvunjwa vunjwa. Nyumba ya bibi Irene iliyo teketezwa leo kwa moto kwa tuuma za uchawi. Bibi huyo ambaye  amekuwa akisadikiwa kuwa na tabia ya kuwachukuwa watoto wa majirani zake kwa nguvu ya giza ameumbuka leo baada ya mtoto mmoja aliye ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Thursday, July 26, 2012

MTOTO WA AJABU MWENYE VICHWA VIWILI AZALIWA TANZANIA


MTOTO WA AJABU MWENYE VICHWA VIWILI AZALIWA TANZANIA

Mwanamke mmoja amejifungua mtoto mwenye vichwa viwili katika hospitali teule ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Mganga Mkuu wa hospitali ya DDH Bunda, Dk. Willam Krekamoo, amemtaja mwanamke huyo kuwa ni Sarah Abenenego (16), mkazi wa mtaa wa Chiringe, mjini Bunda. Dk. ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Ukiona dalili hizi 20 kwa mkeo, bora umuache tu!


Ukiona dalili hizi 20 kwa mkeo, bora umuache tu!

TUKO kwenye Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, niwape pole wale waliojaaliwa kufunga na niwasihi wale wenye uwezo huo wafanye hivyo ili kumfurahisha Mwenyezi Mungu aliyetuumba. Lakini nitoe angalizo kwa wale wenzangu na mimi wasiofunga, wajitahidi kutowaharibia swaumu wenzao. ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

WEMA SEPETU AFANANISHA MAPENZI YAKE NA DIAMOND KAMA YA CRISS BOWN NA RIHANA


WEMA SEPETU AFANANISHA MAPENZI YAKE NA DIAMOND KAMA YA CRISS BOWN NA RIHANA

MSANII anayeongoza kwa ku-make headlines kwenye vyombo vya habari kila kukicha Wema Sepetu, amedai kuwa mahusiano yake yeye na mpenzi wake Nasseb Abdul ‘Diamond’, ni kama ya nyota wa marekani Rihanna na Chris Brown, huku akiamini kuwa ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

MH: MKAPA AMEASA JAMII ZA KIAFRIKA ZIHAMASISHWE KUHUSU TOHARA YA HIARI KWA WANAUME.


MH: MKAPA AMEASA JAMII ZA KIAFRIKA ZIHAMASISHWE KUHUSU TOHARA YA HIARI KWA WANAUME.

Mhe. Benjamin Mkapa akiwasili hotelini tarehe 21 Julai 2012, kuhudhuria Kongamano la XIX la Kimataifa la UKIMWI linalofanyika Mjini Washington D.C. Kushoto ni Balozi wa Tanzania Marekani Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar.  Mhe. Benjamin Mkapa akisalimiana na Dr. ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

WAZIRI WA UCHUKUZI DR. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA HUDUMA MPYA ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR KUTOKA KIA.


WAZIRI WA UCHUKUZI DR. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA HUDUMA MPYA ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR KUTOKA KIA.

Picha ya pamoja mara baada ya Shirika la ndege la serikali ya Qatar (Qatar airways) leo kuzindua  huduma ya safari zake za anga kutoka Kilimanjaro kuelekea sehemu mbalimbali za dunia kila siku na kufanya huduma za safari ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Wednesday, July 25, 2012

NIGERIA U20 YAWASILI KUIKABILI NGORONGORO HEROES.


NIGERIA U20 YAWASILI KUIKABILI NGORONGORO HEROES.

  Kikosi cha timu ya Taifa ya Vijana U20 ya Nigeria (Flying Eagles). Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 ya Nigeria (Flying Eagles) inatarajia kuwasili nchini leo (Julai 25 mwaka huu) saa 10 jioni kwa ndege ya RwandAir ikiwa na msafara ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

SAJUKI APATA GONJWA BAYA LAMSHAMBULIA UTI WA MGONGO


SAJUKI APATA GONJWA BAYA LAMSHAMBULIA UTI WA MGONGO

  Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’.   Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiwa na mkewe Wastara. PAMOJA na kwamba afya ya staa wa filamu Bongo, Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ inaendelea vizuri, imegundulika kuwa ana ugonjwa mwingine tofauti na ule uliompeleka India ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Madiwani 22 CCM Misungwi wajiandikisha kuhamia CHADEMA


Madiwani 22 CCM Misungwi wajiandikisha kuhamia CHADEMA

Madiwani 22 wa CCM wa wilaya ya Misungwi (mkoa wa Mwanza) wamejiorodhesha na kutishia kutaka kuhamia CHADEMA kutokana mgogoro uliopo kati yao na viongozi wa CCM wilaya, Tanzania daima leo limeripoti. Uamuzi huo unatokana na Kamati ya siasa ya Mkoa na wilaya kumshinikiza ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

BREAKING NYUZIII::Rais wa Ghana John Attah Mills afariki


BREAKING NYUZIII::Rais wa Ghana John Attah Mills afariki

John Atta Mills   Facebook Twitter Tuma kwa rafiki yako Chapisha  Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki ghafla wakati akipata matibabu. Taarifa kutoka afisi ya rais  zinasema kuwa alifariki ghafla baada ya kupelekwa hospitali siku ya Jumatatu usiku.  Msaidizi ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Tuesday, July 24, 2012

KESI YA LULU MICHAEL YAPIGWA KALENDA TENA HADI AGOSTI 20


KESI YA LULU MICHAEL YAPIGWA KALENDA TENA HADI AGOSTI 20

KESI ya msanii wa fani ya filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu Lulu, imeahirishwa hadi Agosti 20 mwaka huu, kutokana na Jaji anayeisikiliza, DK Fauz Twaib, kuwa na majukumu mengine.Akiahirisha kesi hiyo jana, Msajili wa Wilaya wa Mahakama Kuu ya Tanzania ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Baba amfumania Mama akizini na mwanaye; Awaua wote


Baba amfumania Mama akizini na mwanaye; Awaua wote

Mkazi wa Kijiji cha Ng’hoboko, Stephano Mihulu (60) anadaiwa kumfumania mkewe na akifanya mapenzi na mtoto wao wa kumzaa na kuwaua kwa kuwakata mapanga. Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, Salum Msangi aliwataja waliouawa kuwa ni Kundi Sita (40) ambaye ni mke wa mtuhumiwa na Boyayi Stephano ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Sunday, July 22, 2012

HAWA NDIO WASANII WALIOSOMA NA KWENDA SHULE PAMOJA


HAWA NDIO WASANII WALIOSOMA NA KWENDA SHULE PAMOJA

Ommy dimpoz mzee wa nai nai na baadae amesoma na super producer Mensen Selkta akiwa amemtangulia kidato kimoko pale Mbezi High school Mesen Selekta yeye ni producer kutoka de fetality records lakini pia ni msanii ambae keshatoa pini kama kushoto kulia, na nyamnyamu. Jaffarai ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.