Thursday, October 27, 2016
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Wednesday, September 7, 2016
MAFUTA YASHUKA BEI
MAFUTA YASHUKA BEI
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji na Mafuta (Ewura), imetangaza kushuka bei ya mafuta ya aina zote kwa jumla na rejareja. Bei hizo mpya ya mafuta zimeshuka katika mikoa yote isipokuwa Mkoa wa Tanga, hasa kwa petroli, dizeli na mafuta ya taa. Taarifa ya Ewura jana ilisema ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
JPM atoa siku saba kwa wadaiwa sugu NHC
JPM atoa siku saba kwa wadaiwa sugu NHC
Siku chache baada ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) litoe nje vitu vya mmiliki wa Mbowe Hotels Limited, Freeman Mbowe kwa kile kilichoelezwa kushindwa kulipa kodi ya pango iliyofikia Sh bilioni 1.172 , Rais Dk. John Magufuli amempongeza Mkurugenzi wa Shirika hilo, Nehemia ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Darasa la saba waanza mitihani leo
Darasa la saba waanza mitihani leo
WATAHINIWA 795,761 wanatarajia kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) unaofanyika leo na kesho nchini kote. Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk Charles Msonde alisema wanafunzi 372,883 ambao ni sawa na asilimia ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Ujenzi nyumba za Magomeni Kota kukamilika mwakani
Ujenzi nyumba za Magomeni Kota kukamilika mwakani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jana tarehe 06 Septemba, 2016 amewatembelea Wakazi wa Magomeni Kota Jijini Dar es Salaam ambao nyumba walizokuwa wakiishi katika eneo hilo zilivunjwa mwaka 2012 kwa makubaliano ya kujengwa nyumba za kisasa na ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Friday, September 2, 2016
ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI (SECOND SELECTION) KWA MWAKA 2016
ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI (SECOND SELECTION) KWA MWAKA 2016
TAARIFA KWA UMMA OR-TAMISEMI inatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya Pili (Second Selection) kwa mwaka 2016. Jumla ya wanafunzi 3,918 wakiwemo wasichana 2,413 na wavulana 1,505 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya pili kwa ajili ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Tuesday, August 16, 2016
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MASANZA 1192 WASOMEA JUANI
WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MASANZA 1192 WASOMEA JUANI
Na, Shushu Joel,BUSEGA Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Masanza katika Kijiji cha Mitindu Kata ya Kiloleli, Wilaya ya Busega, Mkoani Simiyu, wanalazimika kusomea kwenye mti kutokana na upungufu wa madarasa. Aidha upungufu huo wa madarasa unawalazimu wanafunzi wengine ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Monday, August 15, 2016
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Tuesday, August 9, 2016
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Friday, July 15, 2016
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA(ACSEE) NA UALIMU (DSEE NA GATCE) 2016 YAMETANGAZWA
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA(ACSEE) NA UALIMU (DSEE NA GATCE) 2016 YAMETANGAZWA
THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA(ACSEE) NA UALIMU (DSEE NA GATCE) 2016. Bofya hapa Kuangalia Matokeo Bofya hapa Kuangalia Matokeo ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Thursday, July 7, 2016
JPM ateua wakurugenzi halmashauri za majiji, wilaya
JPM ateua wakurugenzi halmashauri za majiji, wilaya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo July 07 2016 amefanya uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri za majiji 5, Manispaa 21, Miji 22 na Wilaya (DC) 137 za Tanzania Bara. Uteuzi huo umetangazwa ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Tuesday, July 5, 2016
Confirmed:Sikukuu ya Eid Jumatano July 06.........
Confirmed:Sikukuu ya Eid Jumatano July 06.........
Taarifa ambayo imetolewa na Mufti Mkuu wa Tanzania Zubeir Bin Ally muda mfupi uliopita ni uthibitisho wa sikukuu ya Eid ul Fitr ambapo Waislam wote walikua wakisubiri kuandama kwa mwezi, Kwenye taarifa yake Muft Zubeir amesema Mwezi huo umeonekana sehemu mbalimbali za nchi yetu ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Maneno Ya 20% Baada ya Kurudi Tena Ndani ya ‘Kombinenga’
Maneno Ya 20% Baada ya Kurudi Tena Ndani ya ‘Kombinenga’
Mkali wa Bongo Fleva, 20% siku ya jana alisaini mkataba chini la Label ya Kombinenga inayomilikiwa na mtayarishaji wa muziki Man Water kutoka katika studio za Combination Sound, 20% aliweza kusaini mkataba wa miaka mitano kufanya kazi chini ya Label hiyo, ambayo itakuwa ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Mtoto wa Idi Amin akosoa sherehe za Entebbe
Mtoto wa Idi Amin akosoa sherehe za Entebbe
Bw Netanyahu amehimiza kuimarishwa kwa uhusiano baina ya Afrika na Isra Mwanawe aliyekuwa kiongozi wa Uganda Idi Amin Dada amepinga sherehe za maadhimisho ya miaka 40 tangu kutekelezwa kwa operesheni ya makomando wa Israel uwanja wa ndege wa Entebbe. Makomando hao ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Uganda na Tanzania wajadili bomba la mafuta
Uganda na Tanzania wajadili bomba la mafuta
Baada ya tangazo la marais wa Uganda na Tanzania sasa maafisa wameanza vikao vya utekelezaji mradi wa bomba la mafuta Uganda na Tanzania zimeanza upya mazungumzo utekelezaji wa ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Rais Magufuli atengua na kufanya uteuzi mwingine leo July 05 2016
Rais Magufuli atengua na kufanya uteuzi mwingine leo July 05 2016
Taarifa niliyoipokea kutokea ikulu inasema kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyonayo kwa mujibu wa kifungu cha 48 cha sheria ya tafsiri za sheria (Interpretation of Laws Act) Sura 1, leo tarehe 5 Julai, 2016 ametengua ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Sababu za Diamond kuhusu picha ya Alikiba kwenye ofisi za WCB….
Sababu za Diamond kuhusu picha ya Alikiba kwenye ofisi za WCB….
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo July 5,2016 ametusogezea hizi stori ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Baada ya ajali mfululizo zilizohusisha mabasi, polisi wamekuja na hii taarifa
Baada ya ajali mfululizo zilizohusisha mabasi, polisi wamekuja na hii taarifa
Ni takribani wiki moja yametokea matukio makubwa matatu ya ajali za barabarani mfululizo ambayo yamehusisha mabasi yanayofanya safari zake mikoani, taarifa ya polisi imesema ajali hizo zimesababisha jumla ya vifo vya watu 46 na majeruhi 73. Matukio hayo yanahusisha ajali ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
PICHA 15: DC Gondwe rasmi ofisini kwake Handeni Tanga!
PICHA 15: DC Gondwe rasmi ofisini kwake Handeni Tanga!
Mtangazaji mkongwe Godwin Gondwe ni miongoni mwa wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa na Rais Magufuli ambaye mwishoni mwa wiki alikuwa ni miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya nane wa wilaya za mkoa wa Tanga walioapishwa na mkuu wa mkoa huo, Martin Shigela, kushika wadhifa ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.