Saturday, January 26, 2013
HAYA NI MAGAZETI 16 YA LEO JAN 26, SOMA KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO… PIA PICHA ZA VURUGU MTWARA! MOJA YA STORI KUBWA
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Friday, January 25, 2013
Dhamana ya Lulu yapigwa kalenda
Dhamana ya Lulu yapigwa kalenda
Elizabeth Michael maarufu Lulu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imesogeza mbele tarehe ya kusikiliza maombi ya dhamana ya msanii wa fani ya maigizo, Elizabeth Michael maarufu Lulu ambaye anakabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia.Jopo la mawakili wa lulu ambao wanaongozwa ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Tuesday, January 22, 2013
KESI YA LULU:WANASHERIA KUOMBA DHAMANA
KESI YA LULU:WANASHERIA KUOMBA DHAMANA
Msanii wa Filamu za kibongo Elizabeth Michael alias Lulu baada ya kipindi cha nyuma kurudishwa rumande kwa kesi yake inayomkabili kwa kutuhumiwa kumuua msanii mwenzake,The Late Steven Kanumba,sasa taarifa ambayo tumeipata ni kwamba wanasheria wake ambao ni Peter kibatala ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
SAFARI YA IRINE UWOYA NCHINI UINGEREZA YASHINDWA KUZAA MATUNDA
SAFARI YA IRINE UWOYA NCHINI UINGEREZA YASHINDWA KUZAA MATUNDA
Actress mwenye makeke mengi na vituko vya kila aina Irine Uwoya amesema kuwa safari yake aliyoifanya nchini Uingereza mwishoni mwa mwaka jana bado haijazaa matunda ingawa bado wapo katika mazungumzo na wahusika, ila kwa sasa kitu wanachokizungumzia ni namna watakavyoandika ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Monday, January 21, 2013
FLORA MVUNGI: NI LAZIMA SHILOLE AJE KUNIPIGIA MAGOTI LA SIVYO.....
FLORA MVUNGI: NI LAZIMA SHILOLE AJE KUNIPIGIA MAGOTI LA SIVYO.....
Muigizaji maarufu Swahiliwood Flora Mvungi amesema kuwa bifu lake na muigizaji mwenzake Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole haliwezi kuisha hivi hivi kama shilole hatamuomba msamaha na kwenda kukiri kwenye magazeti kwa alichokisema ambacho kilionekana kumkera sana Flora.Swahiliworldplanet ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Friday, January 18, 2013
M.D.I. JUU YA MCHAKATO WA KUSOMESHA WANAFUNZI WENYE MAZINGIRA MAGUMU
M.D.I. JUU YA MCHAKATO WA KUSOMESHA WANAFUNZI WENYE MAZINGIRA MAGUMU
KAMATI YA M.D.I IMEFIKA LEO KATIKA SHULE YA SECONDARI MAGU NA KUKUTANA NA BAADHI YA MWANAFUNZI HAO.ANGARIA PICHA ZA MLENZI WA VIJANA PAMOJA NA KAMATI YA M.D.I. WALIPOKUA MAGU SECONDARY. MLEZI WA VIJANA MWL. BISECO KAMATI IKIWA NA MLEZI Dr, FRANK MGANGA KAMATI ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Thursday, January 17, 2013
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.