Jioni ya leo Ommy dimpoz kupitia akaunti yake ya twitter ametweet kwamba amemkamata rapper wa Nako 2 Nako Lord eyes akiiba vifaa vya gari yake ikiwa ni pamoja na Power windows. Jionee mwenyewe picha alizoweka Ommy dimpoz pamoja na tweets zake.
Jionee picha mwenyewe.
![]() |
Lord Eyes kwenye eneo la tukio |




Ommy aliongeza kuwa Lord amekuwa akifanya mchezo huo kwa watu wengi akiwemo jamaa mmoja wa Clouds anaefahamika kwa jina la Kerry ambae pia amemfanyia mchezo huo siku za karibuni.
VIA: suleimanmagoma.blogspot.com
No comments:
Post a Comment