Friday, August 2, 2013

AIBU NDANI YA MWEZI MTUKUFU: MKE AFUMANIWA AKIGAWA URODA CHUMBANI KWA MUMEWE


AIBU NDANI YA MWEZI MTUKUFU: MKE AFUMANIWA AKIGAWA URODA CHUMBANI KWA MUMEWE

Timbwili I zito limeibuka baada ya mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Samora kumnasa ‘live’ mkewe Hadija akimsaliti kwa kuvunja amri ya sita  na hawara ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tena kwenye chumba chao.. Habari kutoka chanzo cha uhakika kilitonya kuwa Samora ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PINDA HANA KESI YA KUJIBU-DPP


PINDA HANA KESI YA KUJIBU-DPP

WAZIRI MKUU-MIZENGO PINDA.   MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Eliezer Feleshi, amesema haoni mantiki yoyote au uhalali wa Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC), kumshitaki Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.   Alisema hayo jana wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari, ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

BAADA YA KUWEKA REKODI YA KWANZA YA KULIA BUNGENI, HII NI REKOD NYINGINE KWA WAZIRI MKUU


BAADA YA KUWEKA REKODI YA KWANZA YA KULIA BUNGENI, HII NI REKOD NYINGINE KWA WAZIRI MKUU

HATIMAYE PINDA KUWA WA KWANZA KUBURUZWA MAHAKAMANI ...Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemfungulia mashtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutokana na kauli yake aliyoitoa bungeni hivi karibuni kwamba wanaokaidi maagizo ya dola ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

MCHUMBA WAKE ROSE NDAUKA AFAFANUA FUMANIZI LA ROSE KUNASWA GEST


MCHUMBA WAKE ROSE NDAUKA AFAFANUA FUMANIZI LA ROSE KUNASWA GEST

BAADA ya msanii wa filamu nchini Rose Ndauka kuripotiwa kufumaniwa akiingia gesti na msanii chipukizi wa muziki wa bongo fleva Nassoro Ayoub 'Dogo Nasry' huku akiwa amevaa baibui kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani,  mumewake mtaarajiwa Maliki Bandawe ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Thursday, August 1, 2013

Wakazi Magu watumia maji ya madimbwi


Wakazi Magu watumia maji ya madimbwi

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Magu, Naomi Nko Zaidi ya wakazi elfu 25 wa mji mdogo wa Magu mkoani Mwanza wanalazimika kutumia maji yaliyotuama kwenye madimbwi kufuatia uhaba mkubwa wa maji unaoukabili mji huo kwa kipindi cha zaidi ya miezi mitatu sasa.   ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.