Sunday, June 30, 2013

DENTI WA KIKE APEWA KICHAPO CHA MBWA MWITU BAADA YA WAZAZI WAKE KUMNASA AKIWA GEST HOUSE NA MPENZI WAKE


DENTI WA KIKE APEWA KICHAPO CHA MBWA MWITU BAADA YA WAZAZI WAKE KUMNASA AKIWA GEST HOUSE NA MPENZI WAKE

Mwanafunzi mmoja amefumaniwa katika nyumba moja ya wageni (guest house) hapo jana, tarehe 29/6/2013 majira ya saa nane mchana katika eneo la Yombo Vituka jijini Dar es salaam. Hata hivyo mfumaniwa mwenzake ( mwanaume ) hajakamatwa kwani aliponyoka na kukimbia. Wazazi ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Saturday, June 29, 2013

MKE WA MTU AFUMANIWA LIVE AKIFANYA MAPENZI, BAADA YA FUMANIZI WALAZIMISHWA KUFANYA TENA MBELE YA WATU


MKE WA MTU AFUMANIWA LIVE AKIFANYA MAPENZI, BAADA YA FUMANIZI WALAZIMISHWA KUFANYA TENA MBELE YA WATU

Hii ajali imetokea huko Anambra State Nigeria baada ya Mke wa mtu kukamatwa na mumewe liveakifanya mapenzi na bwana wake wa pembeni.Watu wakaona isiwe tabu wakachukua sheria mkononi na kuwalazimisha waendelee kufanya mapenzi mbele ya umati wa watu.Wakati yote hayo yanaendelea ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Wednesday, June 26, 2013

ULINZI WA RAIS OBAMA JIJINI DAR NI BALAA....MITAMBO MBALIMBALI YA MAWASILIANO IMEFUNGWA UWANJA WA NDEGE WA KIA


ULINZI WA RAIS OBAMA JIJINI DAR NI BALAA....MITAMBO MBALIMBALI YA MAWASILIANO IMEFUNGWA UWANJA WA NDEGE WA KIA

Maandalizi ya ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama nchini yanazidi kupamba moto huku maofisa wa usalama wa Marekani wakipiga kambi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Aidha, kutokana na ujio huo, Serikali ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU...YADAI POLISI WANARUHUSIWA KUPIGA NA KUUA KISHERIA


SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU...YADAI POLISI WANARUHUSIWA KUPIGA NA KUUA KISHERIA

Serikali imetoa tamko bungeni kuhusu mauaji ya raia mikononi mwa polisi ikieleza kuwa sheria ya kanuni ya adhabu inaruhusu kutumia nguvu za kadiri hata kiasi cha kusababisha madhara au kifo. Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya Waziri ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

"TUTAIFUTA CHADEMA ENDAPO ITABAINIKA KUWA WALIRUSHA BOMU LA ARUSHA WENYEWE"....


Msajili wa Vyama vya Siasa nchini John Tendwa,  amedai kuwa ikibainika kuwa CHADEMA ndio waliohusika katika kulipua bomu katika mkutano wao wa 15/06/2013 atakifuta.
Tendwa  ameyasema   hayo alipokuwa akizungumza katika kipindi cha Hot Mix cha East Africa Television akijibu swali la mtangazaji wa kipindi Adrian Stepp  kuhusu  hatua  zitakazochukuliwa...
Alipoulizwa kama itathibitika kuwa CCM ndio walihusika kulipua bomu hilo amedai kuwa hawezi kukifuta kwakuwa kwa kufanya hivyo itakuwa ni kufanya mapinduzi ya kalamu.
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Monday, June 24, 2013

SOMA SABABU ZINAZOMFANYA JINI KABULA ASEME ATAKUFA


SOMA SABABU ZINAZOMFANYA JINI KABULA ASEME ATAKUFA

STAA wa filamu na muziki Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amekiri kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukabwa na mashetani usiku na kumsababishia maumivu makali ya mwili hadi kuhisi kufa.Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’. Hivi karibuni Jini Kabula alipotea kwenye ulimwengu wa mastaa ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

BAADA YA OMMY DIMPOZI KUPIGWA NA CHUPA NA MAWE DODOMA ,HATIMAYE AFUNGUKA SOMA ALICHOANDIKA HAPA


MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Thursday, June 13, 2013

Breaking News: Langa afariki dunia leo hii.


Breaking News: Langa afariki dunia leo hii.

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii Langa afariki dunia..   Langa Kileo (msanii wa Hip Hop Tanzania, pichani) amefariki dunia leo hii na  kwamba alipelekwa hospitali akiwa hajitambui.  Bado taarifa za kina hazijapatikana juu ya kifo hicho, endelea ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Tuesday, June 4, 2013

MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA WAWASILI JIJINI DAR , NA KUPELEKWA MUHIMBILI KUHIFADHIWA


MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA WAWASILI JIJINI DAR , NA KUPELEKWA MUHIMBILI KUHIFADHIWA

    Mwanamuziki kutoka kundi la wateule akiwa ameshiKa msalaba wa Albert Mangwair baada ya mwili wake kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius    Pichani ni baadhi ya Watanzania wakiusubiria ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Monday, June 3, 2013

Picha Jinsi Albert Mangwea Alivyoagwa Huko South Africa Wakishirikiana na Bushoke


Picha Jinsi Albert Mangwea Alivyoagwa Huko South Africa Wakishirikiana na Bushoke

Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa Albert Ngwea kuelekea katika safari ya mwisho wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini Afrika kusini... Mwili  ...

Read More
MWARICK JAPHET MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.