Wednesday, July 16, 2014

MATOKEO YA KITADO CHA SITA 2014

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

ACSEE 2014 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES

 

BOFYA HAPA KUANGALIA

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA MATOKEO YA UALIMU 2014


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

MATOKEO YA UALIMU 2014 
 
 
 

BOFYA HAPA KUANGALIA

Saturday, May 31, 2014

Penzi la Kitale Aka Mkude Nsimba na Penny Lafuka Moshi..Tena Moshi Mweupeee

Juzi niliposti  picha ya KITALE (Kwasasa unaweza kumuita MKUDE SIMBA)  akiwa anapigwa KISS ZITO na PENNY lenye hisia kali (Daah mtoto P hadi akafumba macho).....Nikawaachia wadau MKOMENT..Sasa leo tena mwanadada Penny Kupitia akaunti yake ya INSTAGRAM ametupia hii....
Sina cha ku-comment zaidi ya kukumbuka msemo wa PANAPOFUKA MOSHI....UJUE KUNA MOTO!

EXCLUSIVE PHOTO’S: Masaa 4 kabla ya kifo cha GEOGRE TYSON pamoja na gari alilopata ajali ziko hapa EXCLUSIVE PHOTO’S: Masaa 4 kabla ya kifo cha GEOGRE TYSON pamoja na gari alilopata ajali ziko hapa


IMG_4162
Marehemu Geogre Tyson pichani hapa alikuwa yupo kijiji cha Chilonwa Chamwino kwenye utoaji wa madawati katika shule ya msingi Chaula iliyopo Dodoma. Baada ya kumaliza shughuli hii huku akiwa kama producer wa The Mboni Show mauti yalimkuta majira ya saa 12 jioni masaa 4 tu toka tuanze safari ya kurudi Dar es Salaam maeneo fulani hivi kama unataka kukaribia GAIRO mjini.

Katika gari hilo walikuwa watu 8 ila yeye pekee ndio aliyepoteza mauti na wengine kupata majiraha mwilini pamoja na dereva wa gari hilo. Kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa hapa Morogoro katika  hospital ya mkoa Morogoro, baadae asubuhi mwili utaanza safari ya kurudi Dar es Salaam
IMG_4166 IMG_4176 IMG_4213 IMG_4214 IMG_4215

Tuesday, May 13, 2014

Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu (HDIF)


01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu, unaosimamiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. (Picha na OMR).
2
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu, unaosimamiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo.
02
Baadhi ya wadau waliohudhuria uzinduzi huo.
03
05
06
PAMOJAA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mnyaa na baadhi ya viongozi wa Costech, baada ya uzinduzi huo. 
1
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Eng. George Mulamula, wakati alipowasili kuzindua  Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu, unaosimamiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. (Picha na OMR).

Friday, February 21, 2014

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2013 ANGALIA HAPA (CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS)

Tuesday, February 11, 2014

HUU UNYAMA GANI HUU JAMANI MTOTO ALIYETAFUNWA USO NA BABA YAKE SASA NI MATESO.

 
Stori: Jelard Lucas na Makongoro Oging’

SUSULUKA Imani Paul, kijana mwenye umri wa miaka 18, ambaye Novemba mwaka jana alikutana na unyama wa aina yake, baada ya kutafunwa sehemu kubwa ya uso wake maeneo ya mdomoni, analia kutokana na mateso makubwa yanayotokana na maumivu ya mwili pamoja na ukosefu wa fedha za matibabu na mahitaji.

Susuluka, mkazi wa Kijiji cha Nyabibuye Kakongo, wilayani Kibondo mkoani Kigoma, alijeruhiwa vibaya kwa kutafunwa usoni na baba yake mzazi, Imani Paulo (36) kwa kung’atwa kisha kunyofolewa macho, pua na meno kubaki nje.

Inadhaniwa kuwa wakati wa tukio hilo, baba yake mzazi alikuwa hana akili za kawaida na inadaiwa kuwa hadi sasa bado anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi wa tukio hilo ukifanywa.

Kwa sasa, kijana huyo ambaye anadai kuishi katika mazingira magumu kutokana na kukosa kwake fedha za kujikimu, yupo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akitibiwa.

“Nateseka sana, inaniuma sana, baba yangu mzazi alinitafuna uso mzima, kwa sasa sina cha kuniokoa katika maisha, fedha za kwenda India sina japo serikali imeahidi kunipeleka, lakini natakiwa kuwa na fedha za kujikimu kama shilingi milioni 1.8, hizo zitasaidia kupata vibali vya kusafiria na mahitaji binafsi, naomba Watanzania waokoe maisha yangu,” alisema Sululuka ambaye anatarajiwa kupelekwa India na serikali hivi karibuni.

Awali taarifa za kijana huyu zilieleza kuwa alikuwa ametafunwa na mwajiri wake lakini sasa ameamua kufunguka kwa madai kuwa aliogopa baba yake angekamatwa na polisi.
Kama umeguswa na kilio cha kijana huyu wa Kitanzania, mchangie ulichonacho na Mungu atakupa baraka zake na ili aweze kujikimu na hata kumsaidia kwa matibabu kwa namba zifuatazo.

Tigopesa 0653715400 na M-Pesa 0768454656.

SOURCE:GBL

MAMA YAKE RAMBO MWENYE MIAKA 92 AFANYIWA UPASUAJI WA SURA NA KUONEKANA MREMBO WA MIAKA 25,MUONE HAPA

Mama wa star wa filamu na kipenzi cha wengi duniani muigizaji  Sylvester Stallone aka Rambo
ameonekaha hivi karibuni akiwa na muonekano tofauti na kwamba kafanya kila jambo kukimbia uzee.
Mama huyu mwenye miaka 92 amefanyiwa Upasuaji Wa Kubadili Sura sura na kuwa na muonekano wenye mvuto zaidi.
rambo 2rambo 3rambo 4rambo

Sunday, February 2, 2014

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI FEBRUARY 02, 2014





.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.