Wednesday, June 27, 2012
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Tuesday, June 26, 2012
WAHAMIAJI 42 RAIA WA EPHIOPIA WAFARIKI DODOMA
WAHAMIAJI 42 RAIA WA EPHIOPIA WAFARIKI DODOMA
Kamanda Zelothe Stephen WAHAMIAJI haramu 42 raia wa Ethiopia wamekufa katika Kijiji cha Chitego Tarafa ya Zoisa Wilayani Kongwa mkoani Dodoma wakiwa safarini kutoka Ethiopia kwenda Malawi. Taarifa za awali kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wengine 74 hali zao ni mbaya sana kutokana ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Tuesday, June 12, 2012
MAHAKAMA YASOGEZA KESI YA LULU HADI TAREHE 25 JUNI, 2012.
MAHAKAMA YASOGEZA KESI YA LULU HADI TAREHE 25 JUNI, 2012.
Lulu’ akishuka katika basi la magereza. ‘Lulu’ akiwa ndani ya mahakama. ‘Lulu akiteta jambo na wakili wake muda mfupi baada ya kufika mahakamani. Akitoka mahakamani baada ya kesi yake kusogezwa hadi tarehe 25 mwezi huu, ambapo watetezi wa ‘Lulu’ wametakiwa kuwasilisha ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Monday, June 11, 2012
KENYA WATANGAZA SIKU TATU ZA MAOMBOLEZO YA SAITOTI
KENYA WATANGAZA SIKU TATU ZA MAOMBOLEZO YA SAITOTI
Kenya imetangaza siku tatu za maombolezi baada ya kifo cha Waziri wa Usalama wa Kenya, Profesa George Saitoti, na naibu wake, Orwa Ojode, kwenye ajali ya helikopta ya polisi katika eneo la Ngong, nje ya Nairobi. Mabaki ya ajali hiyo. Rais Mwai Kibaki alisema kifo cha Bwana Saitoti ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Friday, June 8, 2012
HATUA ZA MWISHO ZA FILAM YANGU MPYA (LOST FAMILY) ZAONEKANA
HATUA ZA MWISHO ZA FILAM YANGU MPYA (LOST FAMILY) ZAONEKANA
HIZI NI BAADHI YA HATUA KATIKA LOST FAMILY TUKIJARIBU KUSHAURIANA NA DIRECTOR WANGU HAPA ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI FURSA YA WASANII WA TANZANIA KUSHINDA EURO 5,000 KATIKA SHINDANO LA KUTUNGA WIMBO RASMI WA KUNDI LA MATAIFA YA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP GROUP OF STATES)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI FURSA YA WASANII WA TANZANIA KUSHINDA EURO 5,000 KATIKA SHINDANO LA KUTUNGA WIMBO RASMI WA KUNDI LA MATAIFA YA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP GROUP OF STATES)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo limepokea mwaliko wa Wasanii wa Tanzania kujitokeza kushiriki shindano la kutunga wimbo utakaokuwa unatumiwa kama wimbo rasmi wa mataifa ya Afrika, Karibiani na Pasifiki (ACP Group of States). Shindano ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Monday, June 4, 2012
Habari kwa Kiswahili: FBI Kuzima Kompyuta 350,000 Zilizoambukizwa na Virusi.
Habari kwa Kiswahili: FBI Kuzima Kompyuta 350,000 Zilizoambukizwa na Virusi.
Mmoja kati ya watengeneza virusi aliyewekwa chini ya ulinzi na watu wa usalama FBI kutokana uhalifu wake. Hivi sasa FBI iko katika maandalizi ya kuzima kompyuta 350,000 duniani kote kutokana kuambukizwa na kirusi aina ya Trojan aliyetengenezwa na kundi la Kiestoni ambalo ni ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
Sunday, June 3, 2012
ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.
HISTORIA FUPI YA MAREHEMU (DAUDI KILUNGUMIKA LUFEGA) ALIYEKUWA MWENYEKITI WA MTAA WA BANK WILAYANI MAGU KUPITIA CHAMA CHA WANANCHI (CUF)
HISTORIA FUPI YA MAREHEMU (DAUDI KILUNGUMIKA LUFEGA) ALIYEKUWA MWENYEKITI WA MTAA WA BANK WILAYANI MAGU KUPITIA CHAMA CHA WANANCHI (CUF)
HISTORIA FUPI YA MAREHEMU DAUDI KILUNGUMIKA LUFEGA KUZALIWA Marehemu alizaliwa mnamo mwaka 1960 akiwa ni Mtoto wa Saba katika familia ya Mzee Lufega Masalu, Alizaliwa katika Kitongoji cha Benki eneo ambalo kwa sasa Cadirac Hotel. Katika Wilaya ya magu na Ndani ya Mkoa ...
Read MoreASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.