Saturday, April 27, 2013

JB ATANGAZA ATAKAPOGOMBEA UBUNGE MWAKA 2015, SOMA ALICHOKISEMA HAPA


HATIMAYE nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Jacob Stephen Mbura ‘JB’ amelianika jimbo atakalogombea ubunge mwaka 2015.

JB aliyaongea hayo mwanzoni mwa wiki hii, jijini Dar es Salaam ambapo alisema macho yake yote yapo 


Mkoa wa Dar es Salaam ambao una majimbo nane.

JB: Niliposema natangaza kugombea ubunge mwaka 2015 wengi waliamini ni maneno tu, lakini nia yangu ni sahihi. Nitagombea na leo nasema jimbo langu lipo Mkoa wa Dar es Salaam.


Aliongeza kuwa, jimbo atakalogombea litaendelea kubaki kuwa siri ya moyo wake na meneja wake wa kampeni ambaye hakupenda kumtaja jina.


Majimbo yanaounda mkoa wa Dar es Salaam katika uwakilishi bungeni ni Ukonga, Ilala, Kinondoni, Segerea, Kawe, Kigamboni, Ubungo na Temeke.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

KAMA ULIKUA HUJUI, HILI NDO KANISA HUKO UINGEREZA AMBALO WAMEAMUA KUSHARE NA WAISLAMU. CHEKI PICHA NA STORY HAPA


church uk muslims worshippers prayers
A Scottish church has become the first in the UK to share its premises with Muslim worshippers.
According to Daily Mail, St John’s Episcopal Church in Aberdeen now welcomes hundreds of Muslims praying five times a day in their building as the nearby mosque was so small that they were forced to worship outside.
The minister of St John’s, Rev Isaac Poobalan, has handed over part of the church hall to Chief Imam Ahmed Megharbi and the imam has led prayers in the main chapel.
Rev Poobalan said today that he would not be true to his faith if he did not offer to help.
Rev Poobalan, 50, said being surrounded by Islam while growing up in India helped break down the divide for worshippers of two religions praying together in Aberdeen.
Sheikh Ahmed Megharbi of the Syed Shah Mustafa Jame Masjid mosque said: ‘What happens here is special and there should be no problem repeating this across the country.
‘The relationship is friendly and respectful.’
St John’s is part of the Scottish Episcopal Church, which is part of the Anglican Communion and distinct from the presbyterian Church of Scotland.
The relationship between the mosque and St John’s has developed over the past few years.
On Christmas Eve 2010 both opened their doors for prayers, food and socialising.
In 2011, the church and mosque teamed up to mark the 10th anniversary of the 9/11 terrorist attacks in the USA.
Verses were read from both the Bible and the Koran to commemorate those who died.
There have been cases of Christians allowing Muslims to pray in their churches in parts of America.
In 2011, two Florida churches were criticised for opening their doors to Muslim groups.
But Church leaders believe the move in Aberdeen is a first for the United Kingdom.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

HAYA NDIYO MAKOSA MATATU YALIYOMNYIMA DHAMANA MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA JANA JIONI NA KUSUBIRI KUFIKISHWA MAHAKAMANI JUMATATU


Mambo yaliyomfanya Mbunge wa arusha Godbless Lema akamatwe na kunyimwa dhamana jana  jioni ni haya yafuatayo baada ya kuongea na Mwanasheria wa Lema wakili Humphrey Mtui
i)Kosa la kwanza ni..
kuwaambia wanafunzi wa chuo cha uhasibu alipoenda kuwatuliza kuwa ‘dhambi kubwa kuliko zote ni woga ‘.Haki hutafutwa na kupiganiwa ikiwa jambo unalipigania ni la msingi na linafaa kupiganiwa(Worth fighting for)

ii)Kosa la pili ni pale alipotamka kuwa ‘’Tumemtafuta mkuu wa mkoa juu ya Matatizo yenu na mlivyoshuhudia hapa amechukua muda mrefu na kuingia kama vile anaingia kwenye send-off.Hawa ndiyo viongozi wetu ambao hawajali matatizo ya wananchi’’Kwa hiyo huo ni uchochezi

iii)Kosa la Tatu ni pale alipotamka kuwaambia wanafunzi kuwa ‘’Mimi Mbunge wenu nipo sambamba nanyi hadi mpate haki yenu na ikiwa mkuu wa mkoa hatakuja hapa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa mkoa nitawaongoza hadi ofisini kwake ili mpate majibu na haki yenu kwani ni haki yenu ya msingi kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo niliapa kuilinda Bungeni na pia inaruhusiwa kwa mujibu wa kikanuni na kifalsafa katika utekelezaji wa utawala bora wa kidemokrasia ambao msingi wake ni kusikilizwa na kulinda haki za binadamu’’Huu nao umeitwa kwamba ni uchochezi.

Maneno ya hapo juu ndiyo yaliyosababisha jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake usiku wa manane ....

Huo umeitwa uchochezi baada ya mkuu wa mkoa kumtumia ujumbe wa mkononi kupitia simu yake kupitia namba 075296027*  aliyotishia kumbambikizia kesi anayoitaka yeye
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Meet The Most Beautiful Woman In The World 2013, Saudi Arabian Queen Fatima Zohar-Godabari


33661_114982065232692_3522677_n
72266_114982615232637_1952095_n
76110_114982368565995_2364824_n
the most beautiful woman in the world
April 24, 2013 - Meet The Most Beautiful Woman In The World 2013, Saudi Arabian Queen Fatima Zohar-Godabari

They say beauty is in the eye of the beholder but this type of natural beauty is very exceptional.
Meet the most beautiful woman in the world 2013, Saudi Arabian queen Fatima Zohar-Godabari.
Before now, the beautiful lady is used to covering her whole face with a Niqab but she is ready to show the world what she is made of.


Take a good look at her, do you think she is indeed the most beautiful woman in the world?
source:highstreetmail.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Friday, April 26, 2013

SOMA MAKA LA ALIYOANDIKA LEMA AKIELEZEA UKWELI WA TUKIO ZIMA KUHUSU FUJO ZILIZOTOKEA CHUONI ARUSHA


 
Majira ya saa nne asubuhi 24/04/2013 nilipokea taarifa kutoka Chuo cha Uhasibu juu ya tukio la mauaji ya mwanafunzi yaliyotokea jana usiku kwa kuchomwa kisu eneo karibu na chuo , nilipita Chuoni hapo baada ya kusikia taarifa hiyo , nilikuta Wanafunzi wengi sana wakiwa wamekusanyika pamoja wakiwa na jazba huku Kamanda wa Jeshi la Polisi Wilaya akijaribu kuwasihi watulie wakati walipokuwa wanatafuta muafaka wa kuzuia jazba ambayo ilikuwa ina lengo la kuandamana kwenda kwa Mkuu wa Mkoa.

Nilipata faragha ya kuongea na Mwalimu aliyekuwa pale ( Dean of Student ) pamoja na OCD na wote walinieleza tatizo lilivyoanza na kuomba nitumie busara kuzuia jazba na maandamano hayo yaliyokuwa yamepangwa kuelekea kwa Mkuu wa Mkoa niliongea na wanafunzi na niliwasihi watulie na nilifanya jitihada za kumtafuta Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa na kwa bahati nzuri nilimpata Mkuu wa Mkoa na kumweleza juu ya kifo hicho na kile ambacho wanafunzi wanakusudia kufanya kuandamana kwenda ofisini kwake. Nilimuomba afike ili aweze kutuliza hali hile na pia atoe kauli juu ya tukio hilo baya la kuhuzunisha kwani ikizingatiwa kuwa ni zaidi ya mara moja matendo kama haya yamekuwa yakitokea na hakuna hatua zozote zimekuwa zikichukuliwa kuwahakikishia Wanafunzi Usalama wao na mali zao.

Mkuu wa Mkoa pamoja na mimi kumpa taarifa mapema aliahidi kufika mapema jambo ambalo halikufanyika na wanafunzi walianza kuwa wakali na nilifanya jitihada na hekima za hali ya juu kuvuta subira za wanafunzi hao ili Mkuu wa Mkoa afike . Baada ya Mkuu wa Mkoa kufika Makamu wa Chuo aliniomba niwaandae wanafunzi kumsikiliza Mkuu wa Mkoa na yeye alikwenda kumchukua Mkuu wa Mkoa na kumpa mukutasari wa tukio zima na hali halisi ya kilichokuwa kinaendelea na kimsingi Mkuu wa Mkoa alipofika Wanafunzi walitaka apande juu kuongea mahali ambako tulitumia kama jukwaa kwa maongezi wakati wote lakini badala yake mambo yafuatayo yalianza kutokea 

1) Mkuu wa Mkoa alikataa na kunitaka nishuke chini mahali alipokuwa yeye na timu yake ya ulinzi na usalama Mkoa kwa kweli nilitii na nilipotaka kuongea nae alinidharau na kuniambia hawezi kuongea na wanafunzi wahuni wasiokuwa na nidhamu maneno ambayo yaliwatia wanafunzi hasira zaidi na nilimsihi na kumuomba Mkuu wa Usalama wa Taifa Mkoa (RSO) kumshawishi Mkuu wa Mkoa kukubali kuongea nao kwani hali ilivyokuwa ni dhahiri kwamba wanafunzi wale walikuwa na jazba ya hali ya juu na hivyo hekima na unyenyekevu ndio ilikuwa njia pekee ya kutuliza hali hile. 

2) Mkuu wa Mkoa alitoa masharti kwamba asingeweza kuongea nao bila kipaza sauti na wanafunzi wote waende jengo lililokuwa karibu na Utawala na wakisha kaa atakuja kuongea nao jambo ambalo wanafunzi waligoma kwa imani kwamba jengo hilo lisengeweza kuchukua wanafunzi wengi na mimi niliaga naondoka kwenda msibani na wanafunzi waligoma nisiondoke mpaka watakapo sikilizwa na kwa kweli nilitii maombi baada ya kunizuia na kukaa mbele ya gari yangu.

3) Tulipokwenda eneo la kukutania na mara hii ilikuwa ni nje jirani ya jengo la utawala wanafunzi walikusanyika wakimsubiri Mkuu wa Mkoa na kabla hajafika nilitwa na yeye mwenyewe ili tuweke msimamo wa pamoja kama viongozi lakini badala yake alitumia Polisi kunitisha na kuhaidi kuwa nitamtambua kuwa yeye ni Serikali ,tulitofautiana tena nilipokataa hofu hiyo na ghafla tuliamua kwenda eneo la kuongea na wanafunzi na ndipo yafuatyo yalitokea “

Mkuu wa Mkoa wakati anaanza kuongea alianza kusema maneno yafuatayo “ Mnaona hiki Kifua na huu mwili wangu , na hapo ndipo hali ilipochafuka na kuamsha vurugu kubwa kutoka kwa Wanafunzi waliokerwa na kauli yake na Polisi wa walimchukua na tafrani kati ya Polisi na Wanafunzi ikapamba moto hali iliyosababisha mabomu ya machozi kulipuliwa kwa wingi kila kona ya chuo na kila mtu kuanza kukimbia kuangalia usalama wake nikiwemo mimi .
Nimesikiliza Mkutano wake na Waandishi wa Habari na leo nimesoma nakusikiliza vyombo mbali mbali vya habari kwamba ninatafutwa na Polisi kwa amri ya Mkuu wa Mkoa , nimeshangaa sana japo sio kumshangaa Mkuu huyu wa Mkoa kwani ufahamu na uwezo wake naujua ulivyo katika kufikiri na kutatua mambo ya msingi na muhimu , kwa jinsi nilivyomsikia na kumuona alivyokuwa anashughulikia tatizo lile lililotukutanisha jana pale Chuoni , kwa kweli nilishangazwa sana na kuogopa kama hekima ya Mkiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa angeweza kushughulikia tatizo lile kwa namna ile ya Kiburi , Dharau na Majivuno ambayo hakika ilikuwa ni chanzo cha wanafunzi kukataa kumsikiliza na ndipo alipoamua kuondoka huku zomea zomea ikiendelea kushamiri vizuri . Mabomu yalianza kupigwa , wanafunzi walipigwa na kunyang’anywa pesa , simu , na lap top na vitu mbali mbali ambavyo Polisi walikuwa wanaona vina thamani kwao , nilikuwa ninatazama mambo haya huku roho yangu ikiwa inauma sana kwamba wanaopaswa kulinda usalama wa raia na mali zao ghafla waligeuka kuwa vibaka wa kuumiza raia na kupora mali zao .

Ninawapa pole wanafunzi kwa msiba wa rafiki yao na siku ya jana ilikuwa ni siku ya Serikali kutumia busara kurudisha matumaini kwa wanafunzi wale pamoja na raia , lakini badala yake wafiwa walipotaka kudai haki zao za kulindwa , walipigwa , walidhalilishwa na Chuo chao kufungwa bila sababu ya msingi wala kuzingatia mambo muhimu .

Ifahamike kuwa Chuo cha Uhasibu Arusha kina wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali za nchi hii, na amri ya mkuu wa mkoa kufunga chuo na kuamuru wanafunzi watawanyike ifikapo saa kumi na mbili jioni , huu ni ukosefu wa upendo , hekima , busara na utu ikizingatiwa kuwa sababu na mchochezi wa vurugu hizi ni Mkuu wa Mkoa kukosa maarifa na hekima.

Nimepokea ujumbe katika simu yangu kutoka kwenye simu yangu ya kiganjani kutoka kwa Mkuu wa Mkoa inayonitishia na kuweka maisha yangu kwenye hali ya hatari na ujumbe huo unasema “ UMERUKA KIHUNZI CHA KWANZA , NITAKUONYESHA KUWA MIMI NI SERIKALI ULIKOJIFICHA NITAKUPATA NA NITAKUPA KESI NINAYOTAKA MIMI “ Mwisho wa kunukuu .

Mwisho, Ninamshukuru kijana aliyerekodi tukio lote kuanzia mwanzo mpaka mwisho na hivi tutanza kusambaza video cd hizo Nchi ili watanzania wajue ukweli na Mh Rais aone utendaji mbovu wa wateule wake na vile nilitake Jeshi la Polisi kufanya kazi kwa kuzingatia sheria , maadili ,taratibu na kanuni za kazi na sio kuendesha Jeshi kwa matakwa ya kisiasa , kufanya hivi ni kuhatarisha usalama na utulivu wa Nchi yetu . 

“ Che Guavera alisema “ if you tremble indignation at every injustice then you are a comrade of mine “ 

Wanafunzi jipeni moyo bado kitambo kidogo Taifa hili litabadilika .


Godbless J Lema ( MP)
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

MATUKIO YOTE MAANDALIZI YA MAZISHI YA MWANAFUNZI ALIYE UWAWA KWA KUCHOMWA KISU NA MWILI WAKE UKIWASILI IRINGA LEO HII TOKA ARUSHA


MWILI  WA MAREHEMU  UKIINGIZWA  KANISANI TAYARI KWA KUSALIWA

NJE YA KANISA

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

CHECK OUT WEMA AWASILI ARUSHA CHINI YA ULINZI MKALI, ALINDWA NA MABAUNSA KILA KONA. CHEK HAPA


Kwa mara nyingine staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu anatengeneza kichwa cha habari baada ya kuacha historia jijini Arusha kufuatia ulinzi mkali aliokuwa nao, Ijumaa lina data zote. Habari za uhakika zilieleza kuwa Wema na timu ya wafanyakazi katika kampuni yake ya Endless Fame Production, alikodisha ndege ya kifahari kutoka Dar kwenda Arusha kwa ajili ya mapumziko tangu Aprili 18 hadi 20, mwaka huu. Ilifahamika kuwa ndani ya ndege hiyo ambayo kuikodisha ni mkwanja mrefu, aliongozana na kampani yake tu.

CHANZO CHA YOTE NI DIAMOND

Ilibumburuka kuwa timu yake hiyo ilikuwa takriban watu watano ambao walimsindikiza kwenda kwenye mapumziko kutokana na ‘stresi’ alizokuwa nazo.


Ilielezwa kuwa stresi alizokuwa nazo zilitokana na ile ishu ya kudaiwa kurekodiwa akibembeleza penzi kwa aliyekuwa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ usiku mkali huku jamaa akiwa amelala na mpenziwe wa sasa, Penniel Mungilwa ‘Penny’.


Baada ya kutokea kwa ishu hiyo ndipo Wema alipoamua kwenda kujichimbia Arusha kupoteza mawazo.


“Unajua ile ishu ilimchanganya sana bidada maana hakutegemea kama Diamond anaweza kufanya kitu kama kile so (kwa hiyo) alikwenda kutuliza akili na kweli sasa hivi walau yupo fresh (vizuri),” alisema sosi wa karibu wa Wema.

AINGIA ARUSHA KWA ULINZI MKALI

Walipoingia jijini Arusha, staa huyo wa Filamu ya The Super Star alipokelewa kwa ulinzi mkali hadi katika hoteli ya bei mbaya aliyokuwa ameweka oda kwa ajili yake na watu wake.
“Unaambiwa kuanzia Arusha Airport (uwanja wa ndege) hadi hotelini ilikuwa ni full ulinzi wa kufa mtu,” kilisema chanzo chetu,

APOKEA MWALIKO
Habari zilieleza kuwa akiwa hotelini hapo, habari zilienea kama moto wa kifuu kuwa yupo jijini Arusha hivyo akapokea mwaliko kutoka kwa mashabiki wake waliotaka japo kumuona tu kwenye Fashion Show iliyoandaliwa.

KASHESHE
‘Eventi’ ilifanyika kwenye Ukumbi wa Club D (World Garden) uliopo jijini humo na ndipo kasheshe lilipoibuka kwa watu kukanyagana wakitaka kumuona na kupiga naye picha.
“Aisee Wema wee acha tu! Kusema kweli watu wanampenda sana. Kuna wakati niliona kama ukumbi unakuwa mdogo na kwa taarifa yako ilikuwa haijatangazwa. Sijui kama ingekuwa imetangazwa kuwa Wema yupo A-town, ingekuwaje maana kila mtu alitaka japo amshike tu,” alisema sosi wetu huyo.

MENEJA
Kwa mujibu wa meneja wake, Martin Kadinda, ilibidi kuomba ulinzi maalum wa mabaunsa ambao walihakikisha hadhuriki.
“Tuliwaambia tupo na mtu mkubwa sana hivyo tukapatiwa ulinzi maalum wa kuhakikisha Wema hapati tatizo la mtu kumdhuru na ndicho tulichokifanya,” alisema Kadinda.
Ilifahamika kuwa kwa harakaharaka ulinzi wa Wema ulikuwa na takriban watu wasiopungua 10, yote ikiwa ni kuhakikisha usalama wake.

AFANANISHWA NA KIM KARDASHIAN
Kwa mujibu wa mashabiki wake ukumbini hapo, ulinzi wa Wema ulifananishwa na ule wa staa wa Marekani, Kim Kardashian ambaye hivi karibuni aliwekwa mtu kati na watu zaidi ya 32 wakiwemo askari na mabaunsa.
“Kweli Wema sasa amefikia levo za akina Kim, yaani naye ana ulinzi mkubwa hivi?” alihoji mmoja wa mashabiki wake.

TIMU NZIMA
Ukimwacha Wema na Kadinda, wengine walioambatana nao ni Kajala Masanja, Petit Man ‘Wakuache’, Tinny Daddy na Nurdin Bilal ‘Shetta’.
Baada ya mapumziko wote walirejea jijini Dar na kuendeleza libeneke wakiwa ‘wamerefreshi’ akili.

NI KUFURU NYINGINE
Hii ni kufuru nyingine ya Wema ambapo swali liliendelea kubaki palepale kuwa anapata wapi fedha anazotumia katika matukio yake ya gharama kubwa huku nyuma yake kukiwa na madai kuwa kuna ‘mkubwa’ mmoja anamuwezesha. 


Kwa hisani ya GLP
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

DEREVA WA BAJAJI AMFANYIA MBAYA MKE WA MTU



Mwanamke mmja ambaye ni mke wa mtu ambaye jina lake halikufahamika (pichani),hivi karibuni yalimkuta makubwa baada ya kuibiwa vitu vyake vyote vilivyokuwa ndani ya pochi na dereva wa Bajaj ambaye pia jina lake halikufahamika.



Kwa mujibu wa chanzo makini, tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo dada huyo alikodi Bajaj hiyo toka nyumbani kwake, Kinondoni-Shamba jijini Dar kwenda kujirusha katika klabu moja ya usiku iliyopo Mwananyamala ndipo alipolizwa pochi hiyo iliyokuwa na fedha (zaidi ya elfu hamsini) pamoja na vitambulisho.

Chanzo hicho kilizidi kueleza kuwa, kabla hajafika klabu, dada huyo aliamua kumpitia shosti yake aliyekuwa katika Baa ya Uhuru Peak, Mwananyamala ili wakajirushe pamoja ndipo dereva huyo alipomfanyizia.


“Alipofika hapa Uhuru Peak akaacha pochi yake ndani ya Bajaj ili amshtue fasta rafiki yake ndipo dereva alipotumia mwanya huo kutokomea kusikojulikana,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya dakika kadhaa, dada huyo alitoka nje na kuanza kuangaza huku na huko ghafla akapata msala mwingine wa kutiwa mbaroni na Jeshi la Polisi lililokuwa katika msako wa kuwakamata machangudoa.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA NI VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA




Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema vurugu zinazoendelea bungeni zinasababishwa na Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kushindwa kujenga hoja na mbinu za kuwabana wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba alisema wabunge wa Chadema wana tabia ya kufuata mfumo wa kwenda bungeni na hoja zinazobeba chama chao na si za Watanzania wote kama jinsi CCM wanavyofanya.

“Kambi rasmi ya upinzani imepoteza uwezo wa kujenga hoja za mashiko na mbinu madhubuti za kuwabana wabunge wa CCM bungeni na badala yake Chadema, wamekuwa na tabia mbaya ya kubeba chama chao,” alisema Profesa Lipumba.


Alisema kambi rasmi ya upinzani pia imeshindwa kulinda utaratibu mzuri wa kutetea masilahi ya umma bila jazba na hoja zenye mashiko kama ilivyokuwa miaka ya nyuma ilipokuwa ikiongozwa na CUF, Kiongozi huyo alisema kambi ya upinzani inapaswa ijipange upya kwa utaratibu na mikakati mizuri ya kuteta hoja za wananchi bila kuyumbishwa na wabunge wa CCM.

“Bunge usiwe uwanja wa kuonyesha mbwembwe za chama bali uwe uwanja wa kutetea haki za wananchi, wabunge wanapaswa wabadilishe mitazamo ya kuona bungeni ni sehemu ya kujionyesha kisiasa na chama chako kinafanya nini nje ya Bunge,” alisema Lipumba.


Alisema viongozi wa Serikali wanapaswa kubadilika kuhusu namna ya kutoa majibu bungeni.

Profesa Lipumba alisema mawaziri wengi wanakuwa wakitoa majibu mepesi katika maswali ya msingi yanayoulizwa na wabunge wa upinzani.

Alisema Bunge linatumia muda na pesa za walipakodi vibaya kwa baadhi ya wabunge kuwa na ubishi usiokuwa na tija, kutoleana matusi na wengine kuingilia hoja za wenzao bila sababu za msingi.

Profesa Lipumba pia alisema Spika wa Bunge, Anne Makinda amepoteza uwezo wa kuliongoza Bunge.

Mwananchi
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

JAGUAR AWA MSANII WA KWANZA KUTOKA KENYA KUMILIKI NDEGE BINAFSI


 
 
Mwanamuziki kutoka Kenya, JAGUAR amenunua ndege binafsi ...
Jaguar anaefanya vizuri kwenye muziki wake huko nchini Kenya na Africa kwa ujumla inasemekana he had purchased ndege yake hiyo binafsi siku za nyuma kipindi cha kampeni za uchaguzi nchini Kenya na ameshaitumia mara kadhaa ...
Jaguar ambae hivi karibuni ameachia single yake mpya inayojulikana kama KIPEPEO inasemekana amenunua ndege hiyo ambayo pia ameshaipa jina lake, yaani AIR JAGUAR ...
Jumamosi moja katika uwanja wa ndege wa Wilson Airstrip uliopo nchini Kenya, Jaguar anasemekana kuitumia ndege hiyo inayopandisha abiria sita kwenda kustarehe huko Great Lake Resort, Niavasha akiwa na baadhi ya wasanii wengine …
CHANZO : GONGAMX
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAFANA SANA UWANJA WA UHURU JIJINI DAR LEO




 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam leo kuongoza Watanzania kusherehekea miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Pamoja naye kwenye gari hilo la wazi ni Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange
 Nyomi si ya kawaida hata pa kutema mate hakuna
 Msafara wa Rais Kikwete ukizunguka uwanja wa Uhuru
Nyomi ya leo. Taswira zingine na kumwaga baadaye.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

DIAMOND AWATAKA MADEMU WA LONDON WAJIPENDEKEZE ILI ACHAGUE WA KUSPENDI NAYE..



Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anaendelea kutunisha akaunti yake baada ya kulamba shavu la shoo za kutosha nchini Uingereza ambapo ameahidi kurejea Bongo na mchumba rasmi atakayemtambulisha kwa mama yake, Sanura Kassim ‘Sandra’.


Mkali huyo wa ngoma ya Kesho alifunguka hayo kupitia

website yake alipokuwa akizinadi shoo hizo atakazofanya kwenye majiji ya London na Reading, Uingereza ambapo aliwataka warembo hasa Wabongo waishio humo kupendeza ili achague mmoja atakayekuwa mchumba wake.



Bila kujali mjadala utakaoibuka kwa kuwa tayari ana mchumba ambaye ni Penniel Mungilwa ‘Penny’, Diamond alifunguka: “Mashabiki wangu wa London na Reading kijana wenu nakuja kuweka historia kwa mara nyingine. Warembo mpendeze nakuja kuchagua mchumba mmoja wa kuja kumtambulisha kwa mama Diamond.” 




MPEKUZI
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

BAADA YA ZITTO, NASSARI NAYE AANDIKA UJUMBE KUHUSU KUKAMATWA KWA LEMA USIKU WA JANA....SOMA ALICHOKIANDIKA




Nimepata kwa mshtuko na nikakataa kuamini kama ni kweli kuwa polisi wa Arusha wamevamia na kuizingira nyumba ya mbunge mwenzangu wa Arusha, Lema.
 
Nimelazimika kumpigia simu RPC kuthibitisha na cha ajabu akaniambia ni kweli.
 
Nimemshauri kama kiongozi mwenzake mwenye dhamana ya kusaidia kuilinda kweli na haki ili kuleta Amani ya kweli kwenye mkoa wangu wa Arusha. Sidhani kama ni busara kutaka kuvamia nyumbani kwa Raia mwema achilia mbali Kiongozi mkubwa kama mbunge. "Kama watawala wanafanya hivi kwa mti mbichi, itakuwaje kwa mti mkavu" itakuwaje kwa mwananchi wa kawaida anayeishi usa river au unga ltd? Ukifuatilia na kuangalia video ya tukio la uhasibu chuoni arusha, utagundua makosa ya mtawala mkuu wa mkoa, ambaye kimsingi ni mkiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa kuwa sehemu ya sababu ya uvunjifu wa amani, kutokujua hata kusoma saikolojia ya watu.


Nyumbani kwa mbunge hakai mbunge mwenyewe. Kuna watoto akiwemo mwenye umri wa miezi mitano, mke, ndugu etc. Utapigaje mabomu kwenye nyumba hii, bila shaka yatakuwa mauaji. Lema si jambazi, ni kiongozi, ni role model, ni raia mwema sana na mzalendo kwa taifa lake.

Hii wapi sababu ya kuvamia kwake usiku na kuwapa wanafamilia pychological tortue.

Kama amenielewa atasikia, otherwise "truth will always stand" . Tuko tayari na tulishakuwa tayari, hatujashtukizwa. Tunaendelea kuongezewa kura za madiwani arusha juni 16, 2013. Ni vyema watawala wakakumbuka habari ya Farao na Mungu juu ya mateso ya wana wa Israel utumwani. "Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu, ili azidi kujidhihirisha kwa wana wa Israel"

Nassari.

MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Hawa ndio Top 11 ya mastaa wa majuu wanaopenda kuonyesha mapaja yao ndani ya Hollywood


Gwyneth Paltrow goes commando
Pulling herself together … Gwyneth
Rex Feature
Jennifer Lopez

Jennifer Lopez goes commando
How Lo can you go … Jennifer flashes the flesh
Rex Features

Rita Ora

Rita Ora goes commando
Hole lot of curves … Rita ditches the undies
Rex Features

Jessica Wright

Jessica Wright goes commando
Jess Wright … TOWIE beauty pulls off the knicker-free look
INFphoto.com

Miley Cyrus

Miley Cyrus goes commando
Oh Mi … Cyrus flaunts her flesh
Rex Features

Kristen Stewart

Kristen Stewart goes commando
Lace design … Kristen dares to bare
Rex

Kate Winslet

Kate Winslet goes commando
Spot a creation … Kate flashes the flesh
Ivan Nikolov / WENN.com

Rihanna

Rihanna goes commando
Rihlly risque … Rihanna

Jenna Dewan


Jenna Dewan goes commando
Stunning … Jenna
Rex Features

Lauren Pope

Lauren Pope goes commando
Flimsy frock … Lauren takes a risk

Lady Gaga

Lady Gaga goes commando
Born This Way … Lady Gaga
Rex
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Hili Tusi Kwa Wanaume Wote wa Tanzania kutoka kwa Jini Kabula.Eti Mna.......?



 Kinachoonekana  ni  kwamba  Jini  kabura  amesalitiwa  na  mpenzi  wake  na  hivi  ameamua  kuhamishia  hasira  zake  kwa  wanaume  wote.....

Jini  kabura  amefikia   hatua  ya  kuunga  mkono  vitendo  vichafu  vya  mapenzi  ya  jinsia  moja  kwa  madai  kuwa  hakuna  wanaume  tz  na  hao  wachache  waliopo  eti wanaf***lwa....!!!!

Kupitia  mtandao  wa  BBM,  Jini  kabula  alipost  ujumbe  huu:

 "Hivi Boy Friend Akikusaliti kwa Marafiki zako na Ndugu zako Ukilipiza kuna Ubaya?

"Naombeni Jibu maana nina mpango wa kutoka mpaka na baba zake kama mbwai acha iwe Minina wanaume Bongo....Griiii...

"Mnao Sag*na Sag**neni tu nawasaport wote Peaneni raha wanaume hakuna maana wengi wanaf*lwa"...
From:BBM
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

WAZUNGU WAMEENDELEA SANA, CHEKI PICHA NA VIDEO YA JAMAA AKIENDESHA BAISKELI YENYE UREFU WA FUTI 14. NI AJABU




RIDING a giant bike is no tall order for this cyclist – as he cruises along busy roads sitting almost 15ft up in the air.

Richie Trimble built the “Stoopid Tall” bike, which measures 14-and-a-half foot - almost as high as two phone boxes on top of each other.
The bike is so tall that the slightest wobble could send Richie - who wears no helmet or protective gear - flying to the floor.


The video, filmed from his point of view, shows the moment he rode around Los Angeles, US, surrounded by cyclists on normal-sized bikes below.
The clip starts with a shot of him climbing up to the terrifyingly high seat while the bike is propped up against a wall.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

UWOYA KUJIPATI MILIONI 200 ZA BUREEEEE KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS. SOMA MCHEZO WOTE HAPA



 
Mfano wa sehemu ya fedha atazolipwa Uwoya

Yule Diva anayetesa katika sinema za Bongo, Irene Pancras Uwoya ananukia utajiri ambapo hivi karibuni ‘anautarajia’ kuogelea kwenye mamilioni ya fedha kwa kukomba Shilingi Milioni 200 za madafu, Risasi Mchanganyiko lina kila kitu mkobani.

Uwoya ni mke halali wa msakata kabumbu wa kulipwa nchini Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Kataut’ ambapo ndoa yao ilifungwa  mwaka 2009 katika Kanisa Katoloki, Parokia ya Mt. Joseph, Posta jijini Dar es Salaam.
 
 
 

KUTOKA DAR ES SALAAM

Msanii huyo ambaye hakaukwi na skendo, huenda akaibuka milionea ikithibitika kwamba habari iliyoandikwa na gazeti damu moja 

na hili, Ijumaa Wikienda la Jumatatu Aprili 8 – 14, toleo namba 310 iliyokuwa na kichwa; UWOYA, DIAMOND WANASWA 

HOTELINI ni ya uongo. 
Habari kutoka katika vyanzo vyetu vya kuaminika, zinasema kuwa  mdada huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwaye Krish 

Hamad Ndikumana yu mbioni kuandika barua ya madai kupitia kwa mawakili wake  waliopo Dar ili kudai fedha hizo kwa maelezo 

(eti) alichafuliwa na kuingiliwa faragha yake.

KIVIPI SASA?
Moja ya vyanzo hivyo ambacho ni shosti wa karibu na Uwoya alilieleza gazeti hili kuwa baada ya habari ile kutoka gazetini, 

mawakili hao walimfuata na kumwambia kuwa pamoja na machungu aliyoyapata, habari ile kwake ni dili na inaweza kubadili 

maisha yake (mh!).
“Amefuatwa na mawakili zaidi ya wanne kwa nyakati tofauti lakini kuna mmoja anaonekana kumuamini zaidi ndiye anayedili naye 

kwa sasa. Huyo wakili amemhakikishia kuchukua hizo fedha kwa kuwa zipo njenje,” alisema shosti huyo na kuongeza:
“Kikubwa alichomwambia huyo wakili ni kwamba ile habari imemdhalilisha na imeingilia uhuru wa faragha yake kinyume na sheria 

ya nchi yetu.” 
Akaongeza: “Amemhakikishia kutumia ufundi wake wote kuandika barua yenye vitisho vitakavyosaidia kulifanya gazeti hilo litoe 

hizo fedha kabla ya suala hilo kufikishwa mahakamani kupambana kwenye sheria.” (tuko ngangari).

NI FARAGHA IPI HIYO?
Chanzo hicho kimeendelea kufafanua kuwa wakili wa Uwoya amemweleza kwamba barua yake hiyo ya madai itaandikwa kwa 

kuzingatia mwongozo wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo kwa maelezo yake imevunjwa.
Habari za moto zinapasha kuwa, barua hiyo itazingatia kuvunjwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 16 

kifungu kidogo cha 1 ambacho kimekataza watu kuingiliwa katika faragha zao. 
“Kiukweli ana imani naye sana na amemhakikishia kuzoa hizo fedha kwa sababu ana ufahamu mkubwa na sheria na namna ya 

kupanga maneno katika barua hiyo,” alisema.

KUKUNUA GARI, KUJENGA NYUMBA YA KIFAHARI
Pekupeku za Risasi Mchanganyiko zinaeleza kwamba kwa sasa Uwoya ana uhakika wa kubadilisha maisha yake mara baada ya 

utaratibu wa barua hiyo kukamilika na kufika kwa uongozi wa Global Publishers.
Imeelezwa kwamba, kitu cha kwanza ambacho Uwoya amepanga kufanya ni kununua gari la kifahari na kuachana na analotumia 

sasa ambalo si lake huku mpango wa pili ukiwa ni kujenga nyumba bora ya kisasa. (Uwoya bwana!)
“Anataka kuanza kuishi maisha ya kistaa zaidi, anasema eti gari analotumia sasa hivi halifanani na hadhi yake. Kitu kingine 

anachofikiria ni kujenga nyumba ya kifahari Mbezi Beach (kwenye upepo mwanana). Anasema kule ni pazuri zaidi kwa sababu ni 

nyumbani kwao.
“Hivi ninavyozungumza na wewe tayari ameshaonana  na wataalam wa ramani ili waweze kumshauri mjengo mzuri wa kisasa 

ambao ataujenga baada ya kuchukua hizo fedha,” alisema.

MHARIRI KIZIMBANI
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda lililotoa habari hiyo ya Uwoya na Diamond kunaswa (jina kapuni) alipatikana juzi Jumatatu 

jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka yake ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha.
Akizungumza kwa kujiamini, mhariri huyo alisema: “Bado sijapokea barua ya namna hiyo lakini ikija itanishangaza sana. Kufupi 

nipo tayari kupambana na hiyo kesi kwa sababu waandishi wangu walifanya kazi nzuri na upo ushahidi wa kutosha mezani kwangu, 

 waje tu. Teeh! Teeeh! Teeeeeh!”
Kuhusu gazeti lake kuingilia faragha ya Uwoya kama madai yanavyoeleza, mhariri: “Ni faragha ipi hiyo iliyoingiliwa kwa Uwoya na 

Diamond? Ukisoma ile habari mstari kwa mstari na kutazama zile picha, utaona kwamba kilichoripotiwa ni wao kunaswa hotelini 

wakiingia usiku na kutoka siku inayofuata.
“Hakuna picha wala aya yoyote katika ile habari iliyoonesha kwamba, waandishi wangu walimfuata Uwoya na Diamond chumbani 

walipokuwa kwenye faragha yao. Labda walipokuwa mapokezi na kupita kwenye korido ndiyo faragha yao! Ha! Haa! Haaa!
“Tuliripoti  kunaswa hotelini tu hasa kwa kuwa tunajua kuwa Uwoya ni mke wa mtu na Diamond ana mchumba. Ni hivyo tu. 

Hakuna cha kujadili sana hapa ndugu mwandishi teh!”

HEBU PATA PICHA KIDOGO
Katika habari inayodaiwa kulalamikiwa na Uwoya hadi kufikia kukubaliana na wakili wake kupeleka barua ya madai, ilieleza hatua 

kwa hatua ya namna mastaa hao  walivyoingia katika hoteli moja ya kifahari yenye hadhi ya nyota tano (jina lipo), Mbezi Beach 

jijini Dar es Salaam na kuishia katika chumba namba 208.
Upo ushahidi wa picha za mnato na video zikimwonesha Diamond ambaye muda mfupi baada ya kuingia katika chumba hicho 

alitoka mapokezi kulipa na kuandikisha akiwa amevaa viatu vya Uwoya (video ipo jamani).
Baada ya kuingia katika chumba namba 208 alichokuwa Uwoya mishale ya saa 8:24 usiku, wote wawili hawakutoka hadi kesho 

yake, saa 9:00 mchana.
Awali, wakati wanaingia katika hoteli hiyo ambayo tayari ilikuwa chini ya ulinzi wa mapaparazi wa Global, Diamond alikuwa na gari 

la Uwoya aina ya Toyota Fortuner na Uwoya alikuwa na la Diamond, Toyota Land Cruiser Prado (picha kibao zipo zikionesha 

hivyo).
Baada ya mkesha wao, wakati wa kuondoka kila mmoja aliondoka kivyake kwa kutumia gari lake. 

KICHEKESHO CHA UWOYA
Mara baada ya habari hiyo inayodaiwa kupangiwa kuzolea mamilioni ya shilingi kutoka kwenye Gazeti la Ijumaa Wikienda, Uwoya 

alipiga simu kwa waandishi mbalimbali wa Global na kulalamika  kwamba habari ile inaweza kuharibu ndoa yake.
Uwoya, huku akijua muda mrefu kwamba kuna tetesi za yeye kutoka na Diamond, alimpigia simu mmoja wa waandishi wetu na 

kusema: “Yametimia. Sijui kama kuna ndoa tena. Kila kitu kimeharibika sasa, lakini kwa nini hamkunipa nafasi ya kuzungumza 

kwanza?”
Hata hivyo, alipopata nafasi ya kuzungumza na paparazi mwingine, Uwoya hakuwa na cha maana cha kujieleza zaidi ya 

kujibaraguza na kudai kuwa habari ile imemfedhehesha na kwamba hawezi kutoka kimapenzi na Diamond.
Uwoya alipoelezwa kwamba timu ilikuwa na ushahidi wa kutosha wa picha za video alikanusha na kudai kuwa angeweza kuja 

kuziona ofisini ili kujiridhisha. Hata hivyo, hakutokea mpaka giza linaingia siku hiyo.
Kwa upande mwingine, Uwoya alimwambia mwandishi mwingine: “Ndoa yangu imevunjika rasmi asubuhi hii. Mume wangu 

alizimia baada ya kuiona ile habari yenu, nyienyie.” (mazungumzo hayo yemerekodiwa, siku akitaka afike Global na mawakili wake 

wasikie sauti).

WADAU WAKE JE?
Kabla ya mchana wa siku ambayo habari hiyo ilitoka, tayari stori hiyo ilikuwa imeshasambaa katika mitandao mbalimbali ya 

kijamii na wadau walitoa maoni yao, wengi wakimshambulia Uwoya kwa kuacha ndoa yake na kwenda kujirusha na ‘bwana mdogo’ 

sana, Diamond.
“Mtoa maoni mmoja alitupia hivi: “Mh! Bado sijapata picha ya sampuli ya Uwoya. Ni mwanamke wa aina gani? Si juzi tu alipatana 

na mumewe sasa inakuwaje anakutwa na Diamond usiku hotelini?”

IRENE UWOYA NI NANI?
Irene Uwoya ni Miss Tanzania namba 5, mwaka 2006 akitanguliwa na Wema Sepetu, Jokate Mwegelo, Lissa Jensen na Victoria 

Martin. Kwenye filamu aliibuliwa na Lucy Komba katika katika sinema yake iliyomkutanisha na Yusuf Mlela. 
Kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Bongo Movie Unit akiwa chini ya Mwenyekiti Vincent Kigosi ‘Ray’.

KIFUATACHO
Baada ya kumheshimu na kutunza siri zake kwa muda wote huo, Global Publishers imejipanga kuvunja ukimya kwa kuanika video 

ya Uwoya na Diamond hatua kwa hatua kuanzia walipoingia hotelini.
Zoezi hilo litafanyika mapema sana mara baada ya kujiridhisha kwamba ni kweli anatarajia au amefikisha barua hiyo ya madai 

katika ofisi  za Global.
Mtandao namba moja kwa burudani Bongo, www.globalpublisherstz.com ndiyo utakuwa wa kwanza kuanika kabla ya kuhamishia 

kwenye mitandao mingine ya kijamii ukiwemo ule maarufu wa Youtube ili kutoa nafasi kwa Watanzania kuona kama ‘Oparesheni 

Fichua Maovu ya Global’ inafanya kazi kweli au ni fiksi tu na faragha iliyoingiliwa ni ipi?!
CHANZO : GPL
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

Wednesday, April 24, 2013

NAKAYA KURUDI KWENYE GAME NA MIMBA YA MIEZI MIWILI



Hit maker wa "Mr Politician" Nakaaya Sumari, baada ya kukaa kimya kwa mda mrefu, amezungumza na Amplifaya ya Clouds Fm na kuthibitisha kuwa ana ujauzito ambao ni miezi kadhaa tu atajifungua.Alipoulizwa kuhusu baba wa mtoto huyo, Nakaya alicheka kwanza na kusema kuwa ni wa mtakatifu, na kugoma kabisa kumtaja baba wa mtoto huyo mtarajiwa, huku akisema kuwa sio wa mtu yeyote anaejulikana.
blog hii inakutakia li;a la kheri na ujifungue salama
hivi sasa pia Nakaaya ameachia wimbo mpya unaoitwa "Utu Uzima Dawa" akiwa amemshirikisha producer Dunga, ukiwa umetengenezwa chini ya producer Lamar "Fish Crab"
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PICHA ZA MWIGIZAJI KUTOKA NIGERIA ALIYELIPWA N5,000,000 ILI ANYOE NYWELE, AKINYOLEWA KWA WEMBE


chika ike goes bald 5 million
chika ike shaves hair for 5 million
chika ike cuts hair
Nigerian actress Chika Ike alias Fancy Nancy has sacrificed beauty for money.

The talented actress cuts her hair on Monday the 22nd of April for a whopping N5 million reward.

Chika Ike is following the footsteps of other Nollywood movie stars like Mercy Johnson, Oge Okoye and many others who shaved their own hairs for a rewarding movie role.

In moments of tears Nigerian movie, the actress played the role of the youngest wife of veteran actor Olu Jacobs… when he eventually dies, she shaved her hair to mourn him.

The actress is not without controversy. Critics are currently blasting her for showing off her N5 million cheque since others who shaved their hair before her didn’t do such.

See more photos from Moments of tears location set below
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.

PICHA NA TAARIFA KUTOKA KWA MWANAFUNZI WA ARUSHA, KUHUSU MWANAFUNZI MWENZAKE ALIYE UWAWA KIKATILI.




Huyu Ndio Henry Aliye Uwawa

Mbunge Wa Arusha Mjini Godbless Lema Akiwatuliza Wanafunzi Wa Chuo Hicho


Taarifa Kutoka Kwa Mwanafunzi Mwandishi Kuhusu Taarifa Zinazo Sambaa Kwenye Chuo Cha Uhasibu Arusha Inasema Kuna Kijana Anaitwa Henry Ni Mwanafunzi Wa BEF 2 Kwenye Chuo Cha Uhasibu Arusha Eneo La Njiro, Alikuwa Masomoni Mida Ya Usiku Na Alipomaliza Aliondoka Na Kuelekea Maeneo Ya Esami, Kabla Hajafika Eneo La Malazi Yani Hostel Alipigiwa Simu Na Mwenzake Amsubiri Ili Waende Wote Hostel. Inasemekana Wakati Anamsubiri Rafiki Yake Kwenda Hostel, Kuna Bajaj Ilifika Eneo Hilo Na Watu Hao Wasiojulikana Wakataka Pesa Kutoka Kwa Mwanafunzi Huyo, Majibu Ya Wanafunzi Hao Hayakuwafurahisha Watu Hao Na Ndio Walipochomoa Kisu Na Kumchoma Mmoja Ya Vijana Hao Tumboni Na Shingoni na Kupoteza Maisha Hapo Hapo, Rafiki Aliye Kuwa Nae Inasemekana Alichomwa Kisu Cha Tumboni Na Kuachwa Akishuhudia Mwenzake Akipoteza Maisha.
MWARICK JAPHET TEKELE MUJUNGU Web Developer

ASANTE KWA KUTEMBELEA KING SELE BLOG KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NASI: E-mail.: mwarickit@gmail.com.